jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Watu wasiojulikana wameishambulia sanamu mashuhuri kabisa katikati ya jiji la da-si-lamu. shambulizi hilo ambalo lengo lake halijafahamika limesababisha kuvunjika kwa singe ya bunduki ya kinyago kile kikakamavu!!!!!!! wakijadili jambo hili, baadhi ya wananchi maeneo ya posta wamelaumu kutokuwepo usalama wa kutosha maeneo husika nyakati za usiku, na wengine wamekejeli eti yawezekana majambazi yalijichanganya kwa kudhani ni askari sniper akalenga kichwa bahati akaikwanyua singe!!!!! Hii ndiyo dar