Samweli sitta na ufisadi huu

Mtatamani sana kumchafua sita hamtafanikiwa,
Mtanadi sana mafisadi hamtafanikiwa,
Mtatumiwa sana na mafisadi hamtafanikiwa,
Sita bado atasimama na kuwanyoshea kidole hao mafisadi bila woga
Na siku yao itafika wananchi watamuunga mkono!

Lakini pia mwambie (inaonekana kakutuma) aeleze wana magamba wenzake jinsi alivyoweka mikakati ya kuanzisha CCJ na nia yake hasa ilikuwa nini? na ni vipi CCM itamuamini baada ya usaliti huo mkubwa. Hoja ya ufisadi si ya Sitta na wasaliti wenzake ni hoja ya upinzani iliyozinduliwa pale Mwembe Yanga. Unakumbuka jinsi Sitta huyo huyo alivyomtishia Dr Slaa alipopeleka hoja binafsi ya kutaka suala la EPA liundiwe Kamati maalum ya kuchunguza. Huyu ndiye kweli tunaweza kumuweka upande wa makamanda dhidi ya ufisadi? no way. Yeye amedai ni mtaji wa urais???? kumbe what's behind all his moves ni Urais, kwa hiyo kwake tishio la yeye kuwa Rais ni the so called mafisadi. SITTA NI MSALITI NA MWENYE UCHU WA MADARAKA. Tupende tusipende, tukubali tusikubali, ukombozi wa kweli wa nchi hii uko mikononi mwa CDM na sio hao wasaliti wenu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
jamani lengo si kumchafua sitta lakini lazima tufike wakati tumwangalie ni mtu wa namna gani kwani anapenda kupiga kelele kwenye mazingira fulani fulani lakini panapomuhusu hawezi kusema lolote kuna taharifa ambazo ziko jikoni ya mahusiano yake na kampuni zilizokuwa zinatoa huduma bungeni
 
tanzania kila kitu ufisadi umeme, maji, elimu, ujenzi, mikataba haaaaaaaaaaaaaaaaaaa nchi maskini lakini tajiri ya vilazi
 
mjumbe punguza jazba kwani kama yeye si aliyeanzisha ujenzi huu ok, lakini wakati wa makabidhiano ya jengo si angefuatilia kama ujenzi umefanyika kwa kiwango husika una maana kama rais kikwete kasaini mkataba 2014 na 2015 rais mwingine kaingia hatowajibika kuona mkataba umefuatwa au sitta kwanini hakuchunguza viwango vya bunge na kama mitambo ya usalama imefungwa na ata mic zimefungwa za mchina
Mbona una jazba mshikaji? Jengo sio mali ya serikali ni mali ya mifuko ya hifadhi ya jamii kama ni ufisadi ni kwa hii mifuko na kama kuna vifaa vilivyo chini ya viwango basi wa kuwajibika ni mifuko ya hifadhi
 
jamani wana JF tuache kuchafuana mchaga ameuliza ajibiwe, swala la magamba limetoka wapi? watanzania tuwe na tabia ya kujibu hoja!
 
Mtatamani sana kumchafua sita hamtafanikiwa,
Mtanadi sana mafisadi hamtafanikiwa,
Mtatumiwa sana na mafisadi hamtafanikiwa,
Sita bado atasimama na kuwanyoshea kidole hao mafisadi bila woga
Na siku yao itafika wananchi watamuunga mkono!

sita akigombea urais vs slaa utasemaje mkuu?
 
Jengo jipya la bunge lilijengwa na kuanza kutumika wakati wa awamu ya tatu (Rais Mkapa, Waziri Mkuu Sumaye, Spika Msekwa)

Mafisadi wamewamwaga vibaraka vyao ili kumtuhumu Sitta na hatimaye anyamaze ili malipo fisadi yafanyike kimya kimya. Kabla ya Sitta kuanza kutoa kauli ya kupinga malipo ya Dowans/Richmond hatukuona juhudi kubwa kama hizi za kumtuhumu Sitta.
 
Back
Top Bottom