Je tunawezaje kuwatoa kwenye sakata la ujenzi wa chini ya kiwango wa ukumbi wa bunge jipya ? bunge lililojengwa kwa mabilioni sasa linavuja na ukaguzi umeonyesha uhajajengwa kwa kiwango stahiki na hakuna mitambo ya usalama iliyofungwa mle ndani na pili wamepoteza nyaraka za jengo hili ya michoro na BOQ zake.
je samweli sitta na katibu wa bunge bwana kashilila hawakuhusika katika ufisadi huu?
au ni njama za Anna makinda na kundi lake kumchafua sitta ?
je samweli sitta na katibu wa bunge bwana kashilila hawakuhusika katika ufisadi huu?
au ni njama za Anna makinda na kundi lake kumchafua sitta ?