Kama ndivyo ni nani ndani ya ccm mwenye nafuuMnafiki huyo hana lolote
Ni Kirumba jijini Mwanza kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani kufuatia kifo cha diwani NOVATUS MANOKO(CHADEMA)aliyefariki mwaka jana.Siku ni keshokutwa saa nane mchana kwenye viwanja vya Magomeni.
Source:Gari la matangazo la CCM
Mi nikajua ni huku Arumeru kumbe mwanza hahahahahah
Kama ndivyo ni nani ndani ya ccm mwenye nafuu