Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
cdm kwa kujifagilia hatuwawezi!!! Wewe bwana tupe mikakati yenu ya kutatua kero ubungo, tangu tumewapa jimbo, mpo busy na maandamano endelevu badala ya kushughulikia mahitaji wa wapiga kura.
mabaya tuambieni mema pia mtujuze,kimara kulikuwa na shida kubwa sana ya maji,pamoja na mabomba ya mchina kuwekwa bado maji ilikuwa kero leo hii angalau mabomba yanatoa maji kwa ufuatiliaji wa mbunge.
Not only that mambo mengi yako jikoni lakini nani asiyejua majimbo ambayo yanaongozwa na chadema serikali kuu inazuia maendeleo mengi yanayotakiwa kufanyika?
Mfano ni bajeti ya kinondoni.tumevumilia sana sasa tutaanza kuwaondoa kwenye viti wale wanaofanya maamuzi ya mwisho ili muone jitihada za wabunge.
Otherwise acha kejeli.tulipofika leo nikwakuwa chadema tupo makini vinginevyo watu mngeanza kuikimbia nchi.