Samwel Sitta, Harison Mwakyembe, Bernard Membe: Huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote

Ogwari

Member
Apr 14, 2011
26
15
Samwel Sita, Ana Killango ,Harison Mwakyembe na wengine kadhaa mliokuwa mnajiita mitume kumi na wawili hamna lolote wala hapakuwa na ufisadi wowote mliokuwa mnajifanya wapiganaji wa ufisadi bali maslahi binafsi .Tulijaribu kusema kwamba sita alikuwa na hasira na lowasa kwa sababu alinyimwa uwaziri Mkuu kwa kuwekewa" kauzibe" na lowasa

Tukasema mwakyembe alikuwa kambi ya mwandosya na ana hasira kwa wanamtandao kumkosesha mtu wake Urais, Tukasema Bernard Membe alikuwa na hasira na Lowasa kwa sababu Serikali ya kwanza ya Jk alipewa Unaibu uwaziri kwa sababu Lowasa alikuwa anamwelewa vizuri Membe kuwa ana uwezo mdogo (Reasoning capacity yake ni ndogo) ,Mama kilango yeye ana hasira na lowasa kwa sababu Malecela alikosa Urais.Naamini hata leo ukifanywa uchunguzi huru itathibitika kwamba kila mmoja wenu kwenye mitume 11 alikuwa na maslahi ambayo yalikwamishwa na Lowasa ndio maana wakajiunga kummaliza mzee mwenye mvi nyingi kichwani

Haya yamethibitika baada ya sita kuteuliwa uwaziri na akakubali ,uteuzi wa Rais sio wa lazima unaweza kuukataa tena kwa lugha nzuri ambayo haitamkwaza Rais.Lakini kitendo cha Sita na Mwakyembe kukubali kimethibitisha kuwa hawa ni watu hatari kuliko hata waliokuwa wanawatuhumu ,CCM ni walewale wakizidiana wanatumia kila fursa Kumalizana ?ni mfano wa vibaka waliokwenda kuiba walipopata cheni ya dhaabu walioishika wakawaingiza wenzao mjini.walichofanya walioingizwa mjini wakaenda kuwaripoti waliowaingiza mjini polisi .Ndicho mlivyofanya pale mwlipowaripoti mafisadi wenzenu wananchi wakawapigia kelele wakajiuzulu halafu nyinyi mkaingia serikalini kuendelea kula

Sasa Rais Kamteua Mrindoko mliemtuhumu kwa Ufisadi,sita na Mwakyembe wameteuliwa na Rais na Mrindoko kateuliwa na Rais ngoma droo na bado wanaendelea kubaki kwenye serikali hiyo hiyo ya Mbayuwayu huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote
 
Samwel Sita, Ana Killango ,Harison Mwakyembe na wengine kadhaa mliokuwa mnajiita mitume kumi na wawili hamna lolote wala hapakuwa na ufisadi wowote mliokuwa mnajifanya wapiganaji wa ufisadi bali maslahi binafsi .Tulijaribu kusema kwamba sita alikuwa na hasira na lowasa kwa sababu alinyimwa uwaziri Mkuu kwa kuwekewa" kauzibe" na lowasa

Tukasema mwakyembe alikuwa kambi ya mwandosya na ana hasira kwa wanamtandao kumkosesha mtu wake Urais, Tukasema Bernard Membe alikuwa na hasira na Lowasa kwa sababu Serikali ya kwanza ya Jk alipewa Unaibu uwaziri kwa sababu Lowasa alikuwa anamwelewa vizuri Membe kuwa ana uwezo mdogo (Reasoning capacity yake ni ndogo) ,Mama kilango yeye ana hasira na lowasa kwa sababu Malecela alikosa Urais.Naamini hata leo ukifanywa uchunguzi huru itathibitika kwamba kila mmoja wenu kwenye mitume 11 alikuwa na maslahi ambayo yalikwamishwa na Lowasa ndio maana wakajiunga kummaliza mzee mwenye mvi nyingi kichwani

Haya yamethibitika baada ya sita kuteuliwa uwaziri na akakubali ,uteuzi wa Rais sio wa lazima unaweza kuukataa tena kwa lugha nzuri ambayo haitamkwaza Rais.Lakini kitendo cha Sita na Mwakyembe kukubali kimethibitisha kuwa hawa ni watu hatari kuliko hata waliokuwa wanawatuhumu ,CCM ni walewale wakizidiana wanatumia kila fursa Kumalizana ?ni mfano wa vibaka waliokwenda kuiba walipopata cheni ya dhaabu walioishika wakawaingiza wenzao mjini.walichofanya walioingizwa mjini wakaenda kuwaripoti waliowaingiza mjini polisi .Ndicho mlivyofanya pale mwlipowaripoti mafisadi wenzenu wananchi wakawapigia kelele wakajiuzulu halafu nyinyi mkaingia serikalini kuendelea kula

Sasa Rais Kamteua Mrindoko mliemtuhumu kwa Ufisadi,sita na Mwakyembe wameteuliwa na Rais na Mrindoko kateuliwa na Rais ngoma droo na bado wanaendelea kubaki kwenye serikali hiyo hiyo ya Mbayuwayu huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote

Nakubaliana na wewe reasoning capacity ya Membe ni ndogo mno, licha ya kuwa balozini kwa miaka 8 ona anavyojibu maswali hapa!

 
Last edited by a moderator:
Kimsingi Sitta na Mwakyembe wasipojiuzu baada ya uteuzi wa mrindoko ina maanisha kuwa walikuwa wanafanya usanii kwa kudandia hoja ya chadema ya ufisadi. Au maelezo ya kwenye thread hii ni ukiweli mtupu. Kazi kwao. Upepo wa mwaka 2015 utawashinda hata kwa ngazi ya ubunge.
 
Kimsingi Sitta na Mwakyembe wasipojiuzu baada ya uteuzi wa mrindoko ina maanisha kuwa walikuwa wanafanya usanii kwa kudandia hoja ya chadema ya ufisadi. Au maelezo ya kwenye thread hii ni ukiweli mtupu. Kazi kwao. Upepo wa mwaka 2015 utawashinda hata kwa ngazi ya ubunge.

CDM kwa kujifagilia hatuwawezi!!! Wewe bwana tupe mikakati yenu ya kutatua kero Ubungo, tangu tumewapa jimbo, mpo busy na maandamano endelevu badala ya kushughulikia mahitaji wa wapiga kura.
 
Samwel Sita, Ana Killango ,Harison Mwakyembe na wengine kadhaa mliokuwa mnajiita mitume kumi na wawili hamna lolote wala hapakuwa na ufisadi wowote mliokuwa mnajifanya wapiganaji wa ufisadi bali maslahi binafsi .Tulijaribu kusema kwamba sita alikuwa na hasira na lowasa kwa sababu alinyimwa uwaziri Mkuu kwa kuwekewa" kauzibe" na lowasa

Tukasema mwakyembe alikuwa kambi ya mwandosya na ana hasira kwa wanamtandao kumkosesha mtu wake Urais, Tukasema Bernard Membe alikuwa na hasira na Lowasa kwa sababu Serikali ya kwanza ya Jk alipewa Unaibu uwaziri kwa sababu Lowasa alikuwa anamwelewa vizuri Membe kuwa ana uwezo mdogo (Reasoning capacity yake ni ndogo) ,Mama kilango yeye ana hasira na lowasa kwa sababu Malecela alikosa Urais.Naamini hata leo ukifanywa uchunguzi huru itathibitika kwamba kila mmoja wenu kwenye mitume 11 alikuwa na maslahi ambayo yalikwamishwa na Lowasa ndio maana wakajiunga kummaliza mzee mwenye mvi nyingi kichwani

Haya yamethibitika baada ya sita kuteuliwa uwaziri na akakubali ,uteuzi wa Rais sio wa lazima unaweza kuukataa tena kwa lugha nzuri ambayo haitamkwaza Rais.Lakini kitendo cha Sita na Mwakyembe kukubali kimethibitisha kuwa hawa ni watu hatari kuliko hata waliokuwa wanawatuhumu ,CCM ni walewale wakizidiana wanatumia kila fursa Kumalizana ?ni mfano wa vibaka waliokwenda kuiba walipopata cheni ya dhaabu walioishika wakawaingiza wenzao mjini.walichofanya walioingizwa mjini wakaenda kuwaripoti waliowaingiza mjini polisi .Ndicho mlivyofanya pale mwlipowaripoti mafisadi wenzenu wananchi wakawapigia kelele wakajiuzulu halafu nyinyi mkaingia serikalini kuendelea kula

Sasa Rais Kamteua Mrindoko mliemtuhumu kwa Ufisadi,sita na Mwakyembe wameteuliwa na Rais na Mrindoko kateuliwa na Rais ngoma droo na bado wanaendelea kubaki kwenye serikali hiyo hiyo ya Mbayuwayu huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote

Acha wivu wa kike mkuu ! na wasiwasi wewe ni mchicha mwiba
 
Kimsingi Sitta na Mwakyembe wasipojiuzu baada ya uteuzi wa mrindoko ina maanisha kuwa walikuwa wanafanya usanii kwa kudandia hoja ya chadema ya ufisadi. Au maelezo ya kwenye thread hii ni ukiweli mtupu. Kazi kwao. Upepo wa mwaka 2015 utawashinda hata kwa ngazi ya ubunge.

Ha ha haaaaa Chaggas Development Manifesto (CHADEMA) ndio viongozi wenyewe hawa mlio nao kweli wa kushika dola
 
Nchi imejaa usanii mtupu,tatizo la Mwakyembe/Samuel Sitta na Anna Kilango pia na baadhi ya walio ccm wengi wao ni waoga sana kupambana vita vya ufisadi kwa vitendo lakini kwa maneno hawajambo.Nnapata ukakasi hapa je ni wapoozwa na pesa/uongozi au nini basi kinawafanya wanashindwa kuchukua maamuzi kwa vitendo?
 
Samwel Sita, Ana Killango ,Harison Mwakyembe na wengine kadhaa mliokuwa mnajiita mitume kumi na wawili hamna lolote wala hapakuwa na ufisadi wowote mliokuwa mnajifanya wapiganaji wa ufisadi bali maslahi binafsi .Tulijaribu kusema kwamba sita alikuwa na hasira na lowasa kwa sababu alinyimwa uwaziri Mkuu kwa kuwekewa" kauzibe" na lowasa

Tukasema mwakyembe alikuwa kambi ya mwandosya na ana hasira kwa wanamtandao kumkosesha mtu wake Urais, Tukasema Bernard Membe alikuwa na hasira na Lowasa kwa sababu Serikali ya kwanza ya Jk alipewa Unaibu uwaziri kwa sababu Lowasa alikuwa anamwelewa vizuri Membe kuwa ana uwezo mdogo (Reasoning capacity yake ni ndogo) ,Mama kilango yeye ana hasira na lowasa kwa sababu Malecela alikosa Urais.Naamini hata leo ukifanywa uchunguzi huru itathibitika kwamba kila mmoja wenu kwenye mitume 11 alikuwa na maslahi ambayo yalikwamishwa na Lowasa ndio maana wakajiunga kummaliza mzee mwenye mvi nyingi kichwani

Haya yamethibitika baada ya sita kuteuliwa uwaziri na akakubali ,uteuzi wa Rais sio wa lazima unaweza kuukataa tena kwa lugha nzuri ambayo haitamkwaza Rais.Lakini kitendo cha Sita na Mwakyembe kukubali kimethibitisha kuwa hawa ni watu hatari kuliko hata waliokuwa wanawatuhumu ,CCM ni walewale wakizidiana wanatumia kila fursa Kumalizana ?ni mfano wa vibaka waliokwenda kuiba walipopata cheni ya dhaabu walioishika wakawaingiza wenzao mjini.walichofanya walioingizwa mjini wakaenda kuwaripoti waliowaingiza mjini polisi .Ndicho mlivyofanya pale mwlipowaripoti mafisadi wenzenu wananchi wakawapigia kelele wakajiuzulu halafu nyinyi mkaingia serikalini kuendelea kula

Sasa Rais Kamteua Mrindoko mliemtuhumu kwa Ufisadi,sita na Mwakyembe wameteuliwa na Rais na Mrindoko kateuliwa na Rais ngoma droo na bado wanaendelea kubaki kwenye serikali hiyo hiyo ya Mbayuwayu huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote

Una upungufu tu wa uelewa maana kitaalam "nothing goes for nothing" "History makes man not man who make history" Nikitumia hizo quotes sijaona wanachokosea!!! wabaki kuitwa wapiganaji kama wapiganaji wengine!!
 
Na sasa Jk anawaita wasaliti kama hawataki kushirikiana na serikali waondoke!!!!! Hata hivyo namshangaa JK kama kweli ana uwezo wa kuteua na kufukuza si awafukuze tu badala ya kuhangaika kusemasema bila kuchukua hatua? JK Hawezi kuwafukuza ila pia naamini wao pia(hao watendaji) hawana uwezo wa kuondoka CCM maana ni wanafiki
 
Samwel Sita, Ana Killango ,Harison Mwakyembe na wengine kadhaa mliokuwa mnajiita mitume kumi na wawili hamna lolote wala hapakuwa na ufisadi wowote mliokuwa mnajifanya wapiganaji wa ufisadi bali maslahi binafsi .Tulijaribu kusema kwamba sita alikuwa na hasira na lowasa kwa sababu alinyimwa uwaziri Mkuu kwa kuwekewa" kauzibe" na lowasa

Tukasema mwakyembe alikuwa kambi ya mwandosya na ana hasira kwa wanamtandao kumkosesha mtu wake Urais, Tukasema Bernard Membe alikuwa na hasira na Lowasa kwa sababu Serikali ya kwanza ya Jk alipewa Unaibu uwaziri kwa sababu Lowasa alikuwa anamwelewa vizuri Membe kuwa ana uwezo mdogo (Reasoning capacity yake ni ndogo) ,Mama kilango yeye ana hasira na lowasa kwa sababu Malecela alikosa Urais.Naamini hata leo ukifanywa uchunguzi huru itathibitika kwamba kila mmoja wenu kwenye mitume 11 alikuwa na maslahi ambayo yalikwamishwa na Lowasa ndio maana wakajiunga kummaliza mzee mwenye mvi nyingi kichwani

Haya yamethibitika baada ya sita kuteuliwa uwaziri na akakubali ,uteuzi wa Rais sio wa lazima unaweza kuukataa tena kwa lugha nzuri ambayo haitamkwaza Rais.Lakini kitendo cha Sita na Mwakyembe kukubali kimethibitisha kuwa hawa ni watu hatari kuliko hata waliokuwa wanawatuhumu ,CCM ni walewale wakizidiana wanatumia kila fursa Kumalizana ?ni mfano wa vibaka waliokwenda kuiba walipopata cheni ya dhaabu walioishika wakawaingiza wenzao mjini.walichofanya walioingizwa mjini wakaenda kuwaripoti waliowaingiza mjini polisi .Ndicho mlivyofanya pale mwlipowaripoti mafisadi wenzenu wananchi wakawapigia kelele wakajiuzulu halafu nyinyi mkaingia serikalini kuendelea kula

Sasa Rais Kamteua Mrindoko mliemtuhumu kwa Ufisadi,sita na Mwakyembe wameteuliwa na Rais na Mrindoko kateuliwa na Rais ngoma droo na bado wanaendelea kubaki kwenye serikali hiyo hiyo ya Mbayuwayu huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote

Inamaana wewe hujui kuwa ile richmond ni kesi ya kupika, Ilipikwa Vatican na mwakiyembe mwenyewe akishirikiana na wakatoliki wenzie na mkuu wa kaya baada ya kuona hakuna mkatoliki hata mmoja katika nafasi tatu muhimu baada ya Lowasa kujiuzulu ndo akapatikana yule mkatoliki ndo wametulia ila bado wanachuki na Rais kwa kuwa ni muislamu.:happy:
 
Kimsingi Sitta na Mwakyembe wasipojiuzu baada ya uteuzi wa mrindoko ina maanisha kuwa walikuwa wanafanya usanii kwa kudandia hoja ya chadema ya ufisadi. Au maelezo ya kwenye thread hii ni ukiweli mtupu. Kazi kwao. Upepo wa mwaka 2015 utawashinda hata kwa ngazi ya ubunge.

Hebu tukumbushe huyu Mrindoka yu aje. Ili tuweze kuwaona vizuri akina Mwakyembe.:A S cry:
 
Inamaana wewe hujui kuwa ile richmond ni kesi ya kupika, Ilipikwa Vatican na mwakiyembe mwenyewe akishirikiana na wakatoliki wenzie na mkuu wa kaya baada ya kuona hakuna mkatoliki hata mmoja katika nafasi tatu muhimu baada ya Lowasa kujiuzulu ndo akapatikana yule mkatoliki ndo wametulia ila bado wanachuki na Rais kwa kuwa ni muislamu.:happy:

huyu nae sijui katokea wapi. bora uongelee hoja iliyopo mezani. hakuna mwenye chuki na jmk kwa sababu ya uislam wake. hatuna mtu anayemtazama jk na kumwona mwislam zaidi ya waislam wenyewe. jk kikatiba ndo rais wetu na mapungufu yake hayana uhusiano wowote na dini yake. hata credits zake (kama anazo) hazina uhusiano wowote na dini yake. simwelewi kabisa mtu anayem-assess jk kwa dini yake. hakuwekwa pale kuendeleza udini wala kukandamiza dini yoyote. kama anafanya hivyo litakuwa tatizo lake binafsi na wala si la dini yake
 
Inamaana wewe hujui kuwa ile richmond ni kesi ya kupika, Ilipikwa Vatican na mwakiyembe mwenyewe akishirikiana na wakatoliki wenzie na mkuu wa kaya baada ya kuona hakuna mkatoliki hata mmoja katika nafasi tatu muhimu baada ya Lowasa kujiuzulu ndo akapatikana yule mkatoliki ndo wametulia ila bado wanachuki na Rais kwa kuwa ni muislamu.:happy:
Hizi hoja ni za kupeleka mirembe unaweza kupata watu wa kuzisikiliza.
 
Inamaana wewe hujui kuwa ile richmond ni kesi ya kupika, Ilipikwa Vatican na mwakiyembe mwenyewe akishirikiana na wakatoliki wenzie na mkuu wa kaya baada ya kuona hakuna mkatoliki hata mmoja katika nafasi tatu muhimu baada ya Lowasa kujiuzulu ndo akapatikana yule mkatoliki ndo wametulia ila bado wanachuki na Rais kwa kuwa ni muislamu.:happy:

Hapo kwenye red umetumia ubongo wa ngombe kutamka hivyo wewe ni Ngo....
 
Inamaana wewe hujui kuwa ile richmond ni kesi ya kupika, Ilipikwa Vatican na mwakiyembe mwenyewe akishirikiana na wakatoliki wenzie na mkuu wa kaya baada ya kuona hakuna mkatoliki hata mmoja katika nafasi tatu muhimu baada ya Lowasa kujiuzulu ndo akapatikana yule mkatoliki ndo wametulia ila bado wanachuki na Rais kwa kuwa ni muislamu.:happy:
Matatizo ya kutojua leo utakula nini ndio yanasababisha watu wanakuwa na akili kama hii...
 
CDM kwa kujifagilia hatuwawezi!!! Wewe bwana tupe mikakati yenu ya kutatua kero Ubungo, tangu tumewapa jimbo, mpo busy na maandamano endelevu badala ya kushughulikia mahitaji wa wapiga kura.

umeielewa thread? Au umelewa?
 
Inamaana wewe hujui kuwa ile richmond ni kesi ya kupika, Ilipikwa Vatican na mwakiyembe mwenyewe akishirikiana na wakatoliki wenzie na mkuu wa kaya baada ya kuona hakuna mkatoliki hata mmoja katika nafasi tatu muhimu baada ya Lowasa kujiuzulu ndo akapatikana yule mkatoliki ndo wametulia ila bado wanachuki na Rais kwa kuwa ni muislamu.:happy:
. Wewe ni kiwavi jeshi cha Mukama Huns lolote katafute tu chakula ule ukalale huna lolote la maana.
 
Samwel Sita, Ana Killango ,Harison Mwakyembe na wengine kadhaa mliokuwa mnajiita mitume kumi na wawili hamna lolote wala hapakuwa na ufisadi wowote mliokuwa mnajifanya wapiganaji wa ufisadi bali maslahi binafsi .Tulijaribu kusema kwamba sita alikuwa na hasira na lowasa kwa sababu alinyimwa uwaziri Mkuu kwa kuwekewa" kauzibe" na lowasa

Tukasema mwakyembe alikuwa kambi ya mwandosya na ana hasira kwa wanamtandao kumkosesha mtu wake Urais, Tukasema Bernard Membe alikuwa na hasira na Lowasa kwa sababu Serikali ya kwanza ya Jk alipewa Unaibu uwaziri kwa sababu Lowasa alikuwa anamwelewa vizuri Membe kuwa ana uwezo mdogo (Reasoning capacity yake ni ndogo) ,Mama kilango yeye ana hasira na lowasa kwa sababu Malecela alikosa Urais.Naamini hata leo ukifanywa uchunguzi huru itathibitika kwamba kila mmoja wenu kwenye mitume 11 alikuwa na maslahi ambayo yalikwamishwa na Lowasa ndio maana wakajiunga kummaliza mzee mwenye mvi nyingi kichwani

Haya yamethibitika baada ya sita kuteuliwa uwaziri na akakubali ,uteuzi wa Rais sio wa lazima unaweza kuukataa tena kwa lugha nzuri ambayo haitamkwaza Rais.Lakini kitendo cha Sita na Mwakyembe kukubali kimethibitisha kuwa hawa ni watu hatari kuliko hata waliokuwa wanawatuhumu ,CCM ni walewale wakizidiana wanatumia kila fursa Kumalizana ?ni mfano wa vibaka waliokwenda kuiba walipopata cheni ya dhaabu walioishika wakawaingiza wenzao mjini.walichofanya walioingizwa mjini wakaenda kuwaripoti waliowaingiza mjini polisi .Ndicho mlivyofanya pale mwlipowaripoti mafisadi wenzenu wananchi wakawapigia kelele wakajiuzulu halafu nyinyi mkaingia serikalini kuendelea kula

Sasa Rais Kamteua Mrindoko mliemtuhumu kwa Ufisadi,sita na Mwakyembe wameteuliwa na Rais na Mrindoko kateuliwa na Rais ngoma droo na bado wanaendelea kubaki kwenye serikali hiyo hiyo ya Mbayuwayu huu ndio ufisadi mbaya kuliko wote

Kamteua kuwa nani?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom