Spika anne makinda amemtangaza samwel sitta kukaimu nafasi ya waziri mkuu bungeni kufuatia waziri mkuu pinda kupata safari, ambayo spika hajaeleza kaenda wapi na kufanya nini. Nawasilisha
ataiumbua ccm maana sitta naye haaminiki.!apewe nafasi hiyo alhamis siku ya maswali ya papo kwa papo.
angechukua wabunge wa CDM wangeingia bungeni wamevaa nepi,maana watakua wamebanwa mavi muda wotebora angeichukua nafsi hio moja kwa moja
Mwana wa mkulima yuiko songea kwa siku 2 kikazi