Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
Inawezekana wewe ulipokuwa bado kazini ulikuwa ukiogopa sana kwenda kinyume na mkuu wako lakini Sitta hajaogopa hilo, na ameendelea kupingana ata na chama chake kwenye mambo yenye maslahi ya nchi, sio wengi wenye ujasiri huo.
Mzalendo wa kweli hawezi kusubiri kuwa chama fulani ndipo aanze kupinga uovu au ufisadi unaofanyika, tumeanza lini kuvipenda vyama kuliko nchi yetu? mheshimu sana mtu anayehatarisha maslahi yake binafsi kwa jili ya kupigania maslahi makubwa ya umma.
Hatudanganyiki!!!! Sitta ana uzalendo gani? Unamjua Sitta wewe au unafanya ushabiki? jiulize kwanini Mwl. nyerere alimweka benchi Sitta? Sitta ni mwizi, fisadi and above all ni mnafiki na. 1. kama upo naye karibu mwambie arudishe nyumba aliyojikodishia ambayo analipiwa U$ 7,000 kwa mwezi wakati nyumba za serilkali zipo na amezikataa eti hazina hadhi yake!
Tuondolee upupu sie, kwanini hajitowi CCM na kwenye baraza la mawaziri kama kweli ana uchungu ili apambane akiwa nje ya hao anaowaita mafisadi? Muulize CCJ imeishia wapi? Mnafiki tu.