"Najua unajua kwamba Richmond ilikuwa ya JK..."
View attachment 42733
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Afadhali sasa hivi kila thread inaihusu CCM..CDM imeanza kupotea kwenye jukwaa letu la siasa.
Ng'wanangwa,hakuna mtu mwenye akili nzuri akatokea Tabora.
Ng'wanangwa,
Watu wenye akili nzuri wanatoka wapi apa Tanzania?
hakuna mtu mwenye akili nzuri akatokea Tabora.
Wewe ndiyo wasema
upatanishi wa meya na mbunge unapatikana kanisani hii kali!au walimuogopa askofu? FF,MS mkiambiwa nchi inaendeshwa na kanisa mnabisha?
Mh! Ushabiki mwingine bwana?! Sifa za kijinga kabisa
Sitta ni mnafiki namba mmoja kutokea Tanzania
ANAISHI KWENYE NYUMBA YA SPIKA
ALIONGEZA MARADUFU MARUPURUPU YA WABUNGE
ALIZIMA DOWANS
ALIUNGA MKONO POSHO
ALIANZISHA CCJ
ALIJIJENGEA JENGO LA USPIKA KWAO
hakuna mtu mwenye akili nzuri akatokea Tabora.
acha unafiki wewe, sitta ni kiongozi shupavu anaehitajika katika nchi hii. we endelea kubaki na ulimbukeni wako wa kuwa kibaraka wa edward. huna jipya kazi yako ni kuendeleza unafiki tu, wewe pamoja na huyo lowasa wako wote ni wezi