Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
kauli mbiu ya Lowasa, Elimu kwanza, Kilimo baadaye!!Wewe ndiyo wasema
kauli mbiu ya Lowasa, Elimu kwanza, Kilimo baadaye!!Wewe ndiyo wasema
"Najua unajua kwamba Richmond ilikuwa ya JK..."
View attachment 42733
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Uzuri wa hapa JF hata JK anaweza kujisajiri na asifahamike, hebu angalia hii thread inaonyesha kabisa huyu anaweza akawa ni Sita mwenyewe au mkewe
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
kwahiyo hapa unatushauri Lowasa ndiye anafaa zaidi kwa uraisi 2015?
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Afadhali sasa hivi kila thread inaihusu CCM..CDM imeanza kupotea kwenye jukwaa letu la siasa.
Humjui Wasira wewe! Kwa taarifa yako huyo ndiye anayewanyima cdm usingizi, mtamponda sana kwa kuwa ni threat kwenu.Aliyepigwa bao katika huu upatanishi ni Kikwete na serikali yake, aliunda wizara mpya chini ya Wassira inaitwa sijui uratibu wa mahusiano ya jamii or some crap like that. Lakini huyo waziri wa mahusiano ya jamii kazi yake kulala hadharani, akishtuka usingizini kazi yake ni kuanzisha beef na jamii mbali mbali, vyombo vya habari, vyama vya siasa, wabunge wenzie... utakuwaje na waziri wa mahusiano ya jamii kazi yake kuchochea beef?
"Najua unajua kwamba Richmond ilikuwa ya JK..."
View attachment 42733
Kwani kuna tatizo gani kati ya Lema na Lyimo?
Jamaa naona anajitahidi kushawishi mzee ahamie kwenye kambi yake bila mafaniko."Najua unajua kwamba Richmond ilikuwa ya JK..."
View attachment 42733
Afadhali sasa hivi kila thread inaihusu CCM..CDM imeanza kupotea kwenye jukwaa letu la siasa.