Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
mchezaji wa kimataifa wa Cameroon antarajiwa kuanzisha mtandao wa simu za kiganjani nchini kwao ambao umelenga pamoja na mambo mengine kupunguza gharama za matumizi ya simu,hivyo ndivyo wanafanya wenzetu,huku kwetu watu wahifadhi pesa kwenye mabenki ughaibuni kweli?this link below has more information on this matter!
www.difining2morrow.blogspot.com Africa(Tanzania rethinking)
www.difining2morrow.blogspot.com Africa(Tanzania rethinking)