Best mobile so far ni Samsung galaxy S2!
ina nini so special?
yaani mi natumia haka ka-samsung ka bei rahisi kanaitwa samsung player star 2 ni katamu mno sasa najiuliza hao wanaotumia hayo ma galaxy ya mahela mengi watakuwa wanafaudu kiasi gani!nadhani samsung iko juu!
kwan mada c samsung vs nokia naona huko umeshndwa k hyo galaxy non-model naipa e73.
Wewe! acha utani kabisa mm nilikuwa naitafutia kwenye new post.
Siunajua hii galaxy ina display kama pc.
kumbe thread haipo kwenye new post.
hivi inauzwa sh ngapi?kitu nokia E52 nimeivulia kofia.