CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Wewe Samsung ndio wanaongoza hata iphone haifati hata.
Nokia ndio msiseme kabisa samsung tunatisha .
samsung imecmama wangu! kumbe nawe umeona eeh...
Wewe Samsung ndio wanaongoza hata iphone haifati hata.
Nokia ndio msiseme kabisa samsung tunatisha .
Me natumia Samsung kwenye internet ni nomaaa natumia galaxy s 2 na pro young hii ni duo ya android
ntakaribia...VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA Husninyo...hujui kufanyana sio...?ntakuletea picha nikija...gari yangu sijaiinua,ivi hapo kwenu pamekuwaje na hii mvua?
unajua samsung hazna adobereader, microsoft office n etc. That y ilove nokia... Mina 2mia nokia e52 naiuza nanko kwny mpango wakuhamia nokia e72..
NOKIA mwisho wa mambo.
unajua samsung hazna adobereader, microsoft office n etc. That y ilove nokia... Mina 2mia nokia e52 naiuza nanko kwny mpango wakuhamia nokia e72..
samsung ipo juu hta me ndo naitumia kupata internet...
samsung imecmama wangu! kumbe nawe umeona eeh...
ina zaidi ya traveler ...kitu kinaitwa Sygic hii inakuelekeza kila hotel tena inakwambia pita hapa baada ya mita 100 katakona ingia kulia then hotel uliokuwa unaitaka ni hiyo hapo mbele yako. ila inasema kwa kidhungu sio kiswahili yaani ni balaaina traveler..? Ambayo ipo kwenye nokia e52, e55 n e72..?
hahaha karibu mwaya
ina zaidi ya traveler ...kitu kinaitwa Sygic hii inakuelekeza kila hotel tena inakwambia pita hapa baada ya mita 100 katakona ingia kulia then hotel uliokuwa unaitaka ni hiyo hapo mbele yako. ila inasema kwa kidhungu sio kiswahili yaani ni balaa
Unajua nini, Nilikuwa natumia Nokia smart phone, nkaja iphone, nkarudi nokia, Nkaona ni uzushi nkawa na blackberry 9070 bold na htc wildfire s ikawa na matatizo yake mfano bb ikawa slow alafu kila mwezi au 2 month unakuta wanatoa update ambazo hazina umuhimu speed ndogo ya simu mpaka mtu usubiri haya wildfire s na yenyewe yaani ka screen kadogo alafu battery ina drain haraka pia kanachemka ukifungua app nyingi Unajua nilifanya nini ?
Nilizichukua hizo simu mbili nkaenda kuziuza zote bb na htc nkanunua Samsung galaxy s 2 na Samsung galaxy GT B 5512 PRO hii ipo kama blackbery ila ina kila kitu mpaka front camera android duo sim card wifi, wifi hot spot screen touch trackpad ina qwerty keyboard alafu ina ac yakuweza kupoza chumba kimoja kidogo :tape2:..
haaaahaaa mbona vyo vmo ndan ya traveler 'samsung inaweza kutambua saut yako i mean if u speak ina rspond auto.'
mpaka sasa samsung wanakimbiza soko mbaaya!... na mshambuliaji hatari ThinkPad nokia vip sera zimeisha?
ayaaaa hapo kwenye galaxy y pro...uwiii...touch na qwerty...what a fon!...