shemeji ndo nini mnafanyana humu?
Judgement ndo mkaamua kuweka kijiwe hapa akati mwenzenu niko kazini-tempo ya marketing
Chaliiy yangu hukopesi ! Yaani haikunijia kama unaokodolea macho uzi wako kiivo!
O/wise sory ! Umesahau mchakachuo walau aste, ni suna ?
Habari yako bro BAGAH, Naona sred ishachakachuliwa...
walau mngenipa hi mm mwenyeji...zaidi mnataka kuvuana na nanihiu humu humu!..au mlijua tumelala?
mpaka sasa nokia wanaongoza...ila haina maana samsung sio wazuri...nawasubiria wateja wa samsung waje kumwaga sumu zao hapa!
Samsung ni kitu ingine. Hata ukin unua ya bei ndogo utaifurahia. Nokia imebaki mazoea kwa wateja wake.
Kumbe ndo maana machale yakanicheza!
Ndiyo ilibakia kiduchu tuvae nguo za kuogea! Ungetulaje deo? Umebugi sana kunistua!
Ungekaa kimya , kuna siku ungefumania "chabo!"
sasa Arif nazibiti si kawaida !
Mtalingolo siwezi kusema ni nzuri...toa mtazamo wako kwanza hapa...au mdau wa mchina?
shemeji ndo nini mnafanyana humu?