Watu wengi tutaikubali nokia coz % kubwa ya wa tz tunatumia nokia lakini kule kwenye jukwaa la teknolojia kuna mada inazungumzia matoleo ya simu 10 bora 2011-12. Samsung inaongoza nokia yeyote unayoifahamu haipo kwenye 10 bora.
Watu wengi tutaikubali nokia coz % kubwa ya wa tz tunatumia nokia lakini kule kwenye jukwaa la teknolojia kuna mada inazungumzia matoleo ya simu 10 bora 2011-12. Samsung inaongoza nokia yeyote unayoifahamu haipo kwenye 10 bora.
"pamoja na kwamba ni nzuri"...hebu tupe hapo unaongelea uzuri gani ofisa
Watu wengi tutaikubali nokia coz % kubwa ya wa tz tunatumia nokia lakini kule kwenye jukwaa la teknolojia kuna mada inazungumzia matoleo ya simu 10 bora 2011-12. Samsung inaongoza nokia yeyote unayoifahamu haipo kwenye 10 bora.
Nokia tena ya tochi.
rahisi sana kubofya. Mzima wewe?
Kabisa..mambo ya galaxy sijui gallery hapana kabisa. Mie sijambo, vp wewe? weekend? karibu nimepoa hapa Didi's