SAMSUNG vs NOKIA

BAGAH

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
4,523
1,060
simu gani unaikubali zaidi...?toa sababu FUPI kutokana na jibu lako


NB:inawezekana kabisa ilishajadiliwa mahali, please just do it again!
HAGO!
 
Mi natumia kilongalonga cha Nokia C 6 -00... Kipo poa.. Screen ya ukweli kama laptop.. Samsung.. Labda kidunia ndiyo iko juu...
 
Me natumia Samsung kwenye internet ni nomaaa natumia galaxy s 2 na pro young hii ni duo ya android
 
Mie naifagi nokia..mainly ku-text na kupiga, vingine vya ziada. Nokia ni user friendly na pia inakaa muda mrefu na caja, hata ikianza kubeep imeisha lakini itastahimili kwa muda mrefu. Pia napenda na nimezoea iType zaidi ya iTouch!!
sijawahi kutumia samsung wala siimind.
 
mpaka sasa nokia wanaongoza...ila haina maana samsung sio wazuri...nawasubiria wateja wa samsung waje kumwaga sumu zao hapa!
 
andriid system ya samsung sijatumia ila samsung sizikubali pamoja na kwamba ni nzuri lkn hazisuport maaplication niliyozoea kwenye nokia mfano dictionary tofauti,games za ukweli mpaka gta au need for speed ,mp3 player tofauti kama juke box na nyengine nyingi kiasi cha kufanya overaping ya miziki
 
mpaka sasa nokia wanaongoza...ila haina maana samsung sio wazuri...nawasubiria wateja wa samsung waje kumwaga sumu zao hapa!

Wewe Samsung ndio wanaongoza hata iphone haifati hata.
Nokia ndio msiseme kabisa samsung tunatisha .
 
andriid system ya samsung sijatumia ila samsung sizikubali pamoja na kwamba ni nzuri lkn hazisuport maaplication niliyozoea kwenye nokia mfano dictionary tofauti,games za ukweli mpaka gta au need for speed ,mp3 player tofauti kama juke box na nyengine nyingi kiasi cha kufanya overaping ya miziki

wewe ndugu wewe umepotea sasa samsung ina support games mpaka 2 gb kama ni issue ya movie unacopy dvd direct bila hata ku convert file yaani kitu kina uwezo wa pc.
 
kwa simu kama simu, NOKIA mpango mzima.
Iko friendly & logical.
Kwa simu kama gadget, hapo ni uwanja wa fujo. Nokia haipendi fujo.
 
wewe ndugu wewe umepotea sasa samsung ina support games mpaka 2 gb kama ni issue ya movie unacopy dvd direct bila hata ku convert file yaani kitu kina uwezo wa pc.

hapa refa nimeshindwa kuvumilia nikajikuta nashangilia goli la timu ninayoipenda...lol
 
Wewe Samsung ndio wanaongoza hata iphone haifati hata.
Nokia ndio msiseme kabisa samsung tunatisha .

ThinkPad hebu zungumzia androids market ya samsung...ilivyo na apps za ukweli...

vip kuhusu chaji ktk samsung.?
 
Last edited by a moderator:
andriid system ya samsung sijatumia ila samsung sizikubali pamoja na kwamba ni nzuri lkn hazisuport maaplication niliyozoea kwenye nokia mfano dictionary tofauti,games za ukweli mpaka gta au need for speed ,mp3 player tofauti kama juke box na nyengine nyingi kiasi cha kufanya overaping ya miziki

"pamoja na kwamba ni nzuri"...hebu tupe hapo unaongelea uzuri gani ofisa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom