Samsung tv 29'' inauzwa

kaygeezo

Senior Member
Jul 31, 2008
193
10
RANGI NYEUSI
CHOGO NDOGO
MODEL TYPE:CS-29Z50MH
TYOE: KS7C29Z50
(UNAWEZA KU GOOGLE/BING KUPATA MAELEZO NA PICHA ZAKE)
PICHA CHACHE NIMEATTACH
HAIJAWAHI KWENDA KWA FUNDI WALA KUFUNGULIWA
HAINA TATIZO LOLOTE
IMETUMIKA MWAKA 1
BEI 400,000TZS(negotiable!)
KUIONA BURE! :decision:
 
RANGI NYEUSI
CHOGO NDOGO
MODEL TYPE:CS-29Z50MH
TYOE: KS7C29Z50
(UNAWEZA KU GOOGLE/BING KUPATA MAELEZO NA PICHA ZAKE)
PICHA CHACHE NIMEATTACH
HAIJAWAHI KWENDA KWA FUNDI WALA KUFUNGULIWA
HAINA TATIZO LOLOTE
IMETUMIKA MWAKA 1
BEI 400,000TZS(negotiable!)
KUIONA BURE! :decision:
Kama sikosei hili tangazo lilitoka longi na mwenyewe alishasema kesha uza
 
kama kuna mtu anahitaji nnayo LG42 PLASMA ni mpya haijawahi tumika ni ya rangi nyeusi
 
du nafikiri ukihitaji utajua kwa nini naitoa,sio hiyo tu kuna friji na friza,mziki wa nguvu,machine ya kufua na kuoshea vyombo na vyote vipya kabisa

mi nahitaji kuviona hivyo vyombo, haswa friji na hiyo tele, nipe bei kwanza basi nijue kama I can afford
 
mi nahitaji kuviona hivyo vyombo, haswa friji na hiyo tele, nipe bei kwanza basi nijue kama I can afford

ntakutumia mawasiliano ya mtu ambaye unaweza kumpigia akaenda kukuonyesha,unaweza kwenda viona mbezi ya kimara
 
Poa poa, nitakupigia mkuu, lakini ile kitu mkuu inasumbua charge...haiimili kabisa yani. Inatakiwa mtu asietumia cm sana. Lakini ipo poa tu.
 
Poa poa, nitakupigia mkuu, lakini ile kitu mkuu inasumbua charge...haiimili kabisa yani. Inatakiwa mtu asietumia cm sana. Lakini ipo poa tu.
Kaka simu nyingi za siku hizi zinasumbua sana charge...me nimerudi kweny C905 ,ila soon ntachukua X10 ,nikiona battery perfomance ipo pouwa tutaiwe ka sokoni...:)
 
siamini kama hakuna wateja..loh!...anyways...bei imepungua jamani...300 - 350k
 
ntakutumia mawasiliano ya mtu ambaye unaweza kumpigia akaenda kukuonyesha,unaweza kwenda viona mbezi ya kimara

Ohhh ok sawa sawa....vipi sasa umeshafikia wapi na wewe umeshavitoa au bado???
 
kama unamaanisha mimi..TV bado ipo :)
Kaka K je umeitumia kwa muda gani na bei yake kamili ni ngapi baada ya kupunguza,pia vizuri utuambie kama ina tatizo au la maake siku hizi biashara nyingi zimekuwa za kuuziana mbuzi kwenye gunia
 
NImetumia 1 year mzee,..bought it for 700k,nauza 300k..haina tatizo,,,lingekuwepo ningeweka bayana kama kwenye ile radio niliyouza(ilikuwa ina foftware problem ,uki press eject inakuambia locked)......whew!..natafuta hela niongezee nipate kubwa kidogo mzee...
 
Back
Top Bottom