longalonga
Member
- Aug 22, 2007
- 17
- 2
Wakuu naombeni msaada kwa wale ambao wamewahi kutumia galaxy note na galaxy tab, nimekuwa nikitumia ipad 2, lakini kuna features nyingi ambazo nakuwa limited kuzipata including flash player, nimemwagiza jamaa yangu yuko aninunulie tablet ya samsung, akaniuliza nataka galaxy note au galaxy tab, tafadhali mliowahi kuzitumia nijuzeni tofauti zake ili nifanye uamuzi, asanteni sana.