samsung galaxy pocket

emike

JF-Expert Member
Sep 13, 2011
345
108
wana jf heshima zenu,jana kwenye net nimeona uzinduzi wa samsung galaxy pocket hapa bongo,wadau wa tech walioitumia au kuiona mna maoni gani kuhusu perfomance yake, hasa kwenye internet, multimedia nk. Natanguliza shukrani
 
Kaukweli kama unapenda screen ndogo na kwa processor yake ian nguvu kuliko samsung galaxy mini..na kwasababu ni android kwa multimedia na internet itakua bomba tu hata usiofu..lakini kwa knowledge yangu kwa hiyo battery ya 1200 mAh charge aitakaa sana

 
Screen: 2.8"
Camera: 2Mp
CPU: 832MHz
Battery: 1200mAh
SIKUSHAURI UNUNUE HII SIMU LABDA KAMA UNAMNUNULIA MTU ZAWADI
 
mi mawazo yangu yapo tofauti kidogo hii simu si nzuri kama android nyengine kwa baadhi ya specific ni ndogo nimepitia website yao ntafanya analysis kidogo japo si mtaalam sana

display
Si nzuri ina 262k color (k ni 000) wakati simu za kawaida nyingi zina 16m color resolution ni 320x240

music and sound
Hapa ipo poa inakubali miziki ya aina nyingi kama mp3, aac na amr pia utaweza download player kama imemiss kitu

network
Hapa ipo poa ina 3g na edge na ina speed mpaka 3.6 mbps (450 kbps) hio ndo itakua speed ya mwisho

camera
Hapa naona haipo vizuri ina 2 megapixel simu ndogo ndogo sku hizi zina 3.2 i wonder why wameeka hivi

battery hapa ipo poa kwa edge utaongea dakika 950 na ukiwa 3g dakika 360 vile vile standby (simu inawaka bila kutumiwa) ni masaa 520 kwa edge na 450 kwa 3g

video player na video calling
Sjaona option ya video calling na video player inakubali 3gp na sjaona mp4 ila kuhusu video player unaweza download player ikaplay codec nyengine

Nakushauri kama huna matumizi makubwa ya simu labda unapenda mauzo na matumizi madogo tu nunua

Ila kama una matumizi makubwa hii si simu inayokufaa
samsung-galaxy-pocket.jpg
 
mi mawazo yangu yapo tofauti kidogo hii simu si nzuri kama android nyengine kwa baadhi ya specific ni ndogo nimepitia website yao ntafanya analysis kidogo japo si mtaalam sana

display
Si nzuri ina 262k color (k ni 000) wakati simu za kawaida nyingi zina 16m color resolution ni 320x240

music and sound
Hapa ipo poa inakubali miziki ya aina nyingi kama mp3, aac na amr pia utaweza download player kama imemiss kitu

network
Hapa ipo poa ina 3g na edge na ina speed mpaka 3.6 mbps (450 kbps) hio ndo itakua speed ya mwisho

camera
Hapa naona haipo vizuri ina 2 megapixel simu ndogo ndogo sku hizi zina 3.2 i wonder why wameeka hivi

battery hapa ipo poa kwa edge utaongea dakika 950 na ukiwa 3g dakika 360 vile vile standby (simu inawaka bila kutumiwa) ni masaa 520 kwa edge na 450 kwa 3g

video player na video calling
Sjaona option ya video calling na video player inakubali 3gp na sjaona mp4 ila kuhusu video player unaweza download player ikaplay codec nyengine

Nakushauri kama huna matumizi makubwa ya simu labda unapenda mauzo na matumizi madogo tu nunua

Ila kama una matumizi makubwa hii si simu inayokufaa
samsung-galaxy-pocket.jpg

Uko sahihi Chief kama nimtumiaji wa kawaida anunue lakini kama ni heavy user bora atafute mashine nyingine. Mfano kama anapenda games za hali ya juu hii simu haimfai. But all in all Hii ni Simu nzuri kwa matumizi ya Kitanzania.
 
Back
Top Bottom