simu yako inahitaji kufanyiwa settings za 'access point' humu katika jukwaa hili kuna post kibao zinaelezea hili.nisaidieni wajameni,nitawezaje kuingiza internet kwenye samsung galaxy ace s 5380
ninayo nyeupe. 250,000 tshs. ok?
hii thread imekaa kibiashara biashara, matangazo madogo inahusika zaidi
mmmmhhhhhh but dont move it bwana...
sijui kwa nini sijaitoa tu, nimeisamehe siitoi, nakereka kuona pamoja na kuweka tangazo bado watu wanapost humu matangazo ya kuuza/kununua, ntaanza kufuta na ambae hasikii soon ntaanza kutoa adhabu maana hamsikii
Hahaha! Ukiwa admin inabd usiwe short tempered maana m2 znakera mbayaaaa