Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,963
Ndugu wana JF,
kila mtu hapa anafahamu fika kesi inayomkabili Samsom Mwigamba kuwachochea Polisi wasitii maagizo ya kijinga kutoka kwa wakuu wao, badala ya watu wenye akili timamu kumpongeza badala yake amefikishwa mahakamani kwa uchochezi.
Sasa swali langu na hasa kwa waandishi wa habari uchwara na wavivu wa kufikiri na wepesi kusahau, je kama Polisi wa kawaida wangeuchukuwa ushauri huu wa Samson Mwigamba leo hii hiki kitoto cha miaka 23 kingekabiliwa na kesi ya mauwaji ya kukusudia? je mbona wao waliomtuma kuuwa hawajashtakiwa?
TUMBIRI najuwa hard disc yako ina memory nzuri hebu tuwekee ule waraka hapa ili tujadili kwa weledi, na naomba mchango wa Mzee Mwanakijiji kwenye hili.
kila mtu hapa anafahamu fika kesi inayomkabili Samsom Mwigamba kuwachochea Polisi wasitii maagizo ya kijinga kutoka kwa wakuu wao, badala ya watu wenye akili timamu kumpongeza badala yake amefikishwa mahakamani kwa uchochezi.
Sasa swali langu na hasa kwa waandishi wa habari uchwara na wavivu wa kufikiri na wepesi kusahau, je kama Polisi wa kawaida wangeuchukuwa ushauri huu wa Samson Mwigamba leo hii hiki kitoto cha miaka 23 kingekabiliwa na kesi ya mauwaji ya kukusudia? je mbona wao waliomtuma kuuwa hawajashtakiwa?
TUMBIRI najuwa hard disc yako ina memory nzuri hebu tuwekee ule waraka hapa ili tujadili kwa weledi, na naomba mchango wa Mzee Mwanakijiji kwenye hili.