Zitto kujadiliwa humu kunatokana na kufamika kwake kwa mengi mazuri na mabaya. Zitto alipoibua kashfa ya Buzwagi akatimuliwa bungeni sote tulimsifu, si jf tv au magazeti. Lakini alipoanza kupoteza ramani sote tukamgeuka. Kwa hiyo, haonewi anapewa haki yake. Je, alituambia kuwa,
Tununue downs, zitto ana mawasiliano ya karibu na Naibu mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Zitto Swahiba wake ni Rostam. Ushahidi uliwekwa uk wa mbele wa magazeti. Je, tusimjadili kwa hili? Yeye aje ajibu hayo, mambo au aombe radhi. Haonewi mtu hapa.
Tununue downs, zitto ana mawasiliano ya karibu na Naibu mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Zitto Swahiba wake ni Rostam. Ushahidi uliwekwa uk wa mbele wa magazeti. Je, tusimjadili kwa hili? Yeye aje ajibu hayo, mambo au aombe radhi. Haonewi mtu hapa.