msadapadasi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 504
- 62
Mkutano ulioandaliwa na CCM kwa lengo la kumpokea mnafiki na msalititi aliyewasaliti wana-Mbeya vijijini na CDM, umeingia dosari baada ya wanachi wachache waliokuwa wamehudhuria ktk viwanja vya Kibondenyasi/Freepark-Uyole kumzomea na kusababisha vurugu zilizopelekea mkutano kufungwa kabla ya muda uliokusudiwa..
Mkutano huo ulio hudhuriw ana viongozi na vigogo waandamizi wa chama hicho Mzee wa Mtela-JOHN Malechella na Pof. Mark Mwandosya, uliingia dosari baada ya mbunge aliyeuuza ubunge huo na utu wake kwa kuwasaliti wana-Mbeya vijijini na kujipendekeza kwa CCM na kuwauzia ubunge wake alioshinda... kuwaambia wananchi wa Mbeya ambao wamechoshwa na usanii wa ombwe la watawala wa nchi hii, kuwa wasishiriki katika maandamano yaliyoandaliwa na CDM yatakayo fanyika jumamosi hii na kusimiwa na kamanda MBOWE Freeman, kwa madai kuwa wakafanyie maandamano hayo kwao Moshi....
mara uwanja ukatawaliwa na alama za vidole viwili (V) kuzomea na kum(wa)beza mwana-ccm huyo mpya asiye na dira... wala mwelekeo... big-up wapiganaji wa Mbeya****
Hata hivyo uamuzi huo wa kujiudhuru kwa aliyekuwa m/kiti CDM mkoa wa Mbeya na kuhamia ccm uli(me)pokelewa kwa shangwe na wana chama na wapenzi wa CDM-Mby: tofauti na matarajio yake na ahadi yake kwa m/kiti wa ccm-taifa ndg. JK kuwa angeondoka na wana-CDM zaidi ya 150, kaishia kuondoka yeye na chokoraa mmoja wa Ileje-Mby.:brick::behindsofa:ray2:
TUKUTANE JUMAMOSI KWENYE MAANDAMANO YA KI-HISTORIA;
Mkutano huo ulio hudhuriw ana viongozi na vigogo waandamizi wa chama hicho Mzee wa Mtela-JOHN Malechella na Pof. Mark Mwandosya, uliingia dosari baada ya mbunge aliyeuuza ubunge huo na utu wake kwa kuwasaliti wana-Mbeya vijijini na kujipendekeza kwa CCM na kuwauzia ubunge wake alioshinda... kuwaambia wananchi wa Mbeya ambao wamechoshwa na usanii wa ombwe la watawala wa nchi hii, kuwa wasishiriki katika maandamano yaliyoandaliwa na CDM yatakayo fanyika jumamosi hii na kusimiwa na kamanda MBOWE Freeman, kwa madai kuwa wakafanyie maandamano hayo kwao Moshi....
mara uwanja ukatawaliwa na alama za vidole viwili (V) kuzomea na kum(wa)beza mwana-ccm huyo mpya asiye na dira... wala mwelekeo... big-up wapiganaji wa Mbeya****
Hata hivyo uamuzi huo wa kujiudhuru kwa aliyekuwa m/kiti CDM mkoa wa Mbeya na kuhamia ccm uli(me)pokelewa kwa shangwe na wana chama na wapenzi wa CDM-Mby: tofauti na matarajio yake na ahadi yake kwa m/kiti wa ccm-taifa ndg. JK kuwa angeondoka na wana-CDM zaidi ya 150, kaishia kuondoka yeye na chokoraa mmoja wa Ileje-Mby.:brick::behindsofa:ray2:
TUKUTANE JUMAMOSI KWENYE MAANDAMANO YA KI-HISTORIA;