ndevu mzazi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 687
- 237
Kawafungia mazembe goli la pili,mazembe 2- zamalek 0.mpira umeisha
Kawafungia mazembe goli la pili,mazembe 2- zamalek 0.mpira umeisha
Kwani ulitaka asiwafungie....
Kawafungia mazembe goli la pili,mazembe 2- zamalek 0.mpira umeisha
Njoo na maneno yenye Staha kiongozi:Huna akili nimeongelea uwezo wake.perfomance yake nzuri alafu mtanzania.stupid u
Yaap,hajatenda haki,ila nadhani anamaanisha kwamba samatta ni jembe kwa TP MAZEMBE na pia ni nuksi kwa ZAMALEK kwa sababu kawafunga home and away!nawasilisha.Njoo na maneno yenye Staha kiongozi:
Ktk thread yako hujaelezea chochote kuhusu performance ila imetamka kwamba Samata ni nuksi na kawafungia TP-mazembe goli la pili na zaidi na hilo neno la ''stupid u''. Kwakweli hujamtendea haki Crashwise.
Yaap,hajatenda haki,ila nadhani anamaanisha kwamba samatta ni jembe kwa TP MAZEMBE na pia ni nuksi kwa ZAMALEK kwa sababu kawafunga home and away!nawasilisha.
Sawa sawa askari wa morogoro.[/COLOR]umechemka omba mwongozo kwa bi kiroboto...inachezwa kama league , na mechi nyingine aliwafunga al ahly sio zamalek, ya pili ndo kawafunga zamalek
Manake enzi zile vibaka moro town walikuwa hawataki hata kulisikia jina hilo.hehehehehehe sio mimi bana
Apo yupo tp mazembe kelele zote hizo angefunga kwenye uefa si wayanga tusinge kula chakula.
Huna akili nimeongelea uwezo wake.perfomance yake nzuri alafu mtanzania.stupid u