Samatta nuksi kweli.

Huna akili nimeongelea uwezo wake.perfomance yake nzuri alafu mtanzania.stupid u
Njoo na maneno yenye Staha kiongozi:
Ktk thread yako hujaelezea chochote kuhusu performance ila imetamka kwamba Samata ni nuksi na kawafungia TP-mazembe goli la pili na zaidi na hilo neno la ''stupid u''. Kwakweli hujamtendea haki Crashwise.
 
Njoo na maneno yenye Staha kiongozi:
Ktk thread yako hujaelezea chochote kuhusu performance ila imetamka kwamba Samata ni nuksi na kawafungia TP-mazembe goli la pili na zaidi na hilo neno la ''stupid u''. Kwakweli hujamtendea haki Crashwise.
Yaap,hajatenda haki,ila nadhani anamaanisha kwamba samatta ni jembe kwa TP MAZEMBE na pia ni nuksi kwa ZAMALEK kwa sababu kawafunga home and away!nawasilisha.
 
Yaap,hajatenda haki,ila nadhani anamaanisha kwamba samatta ni jembe kwa TP MAZEMBE na pia ni nuksi kwa ZAMALEK kwa sababu kawafunga home and away!nawasilisha.

umechemka omba mwongozo kwa bi kiroboto...inachezwa kama league , na mechi nyingine aliwafunga al ahly sio zamalek, ya pili ndo kawafunga zamalek
 
Apo yupo tp mazembe kelele zote hizo angefunga kwenye uefa si wayanga tusinge kula chakula.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom