Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,449
- 4,201
Kama kawaida mwanasoka wa Kitanzania Mbwana Samatta ameendelewa kuwa mchezaji muhimu wa klabu ya soka ya TP Mazembe ya DRC, baada ya kuifungia goli la pili katika mchezo wa leo dhidi ya Zamaleki kwenye michuano ya Africa - Champions League (Group B).
TP Mazembe ilishinda kwa magoli 2- 0
TP Mazembe ilishinda kwa magoli 2- 0