bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Mchezaji wa TP Mazembe B. Samata jana usiku aliifungia timu yake goli la ushidi dhidi ya zamalek ya misri.Wakicheza kwenye uwanja wa cairo bila mashabaki ,Tp mazembe ilifunga magaoli mawili kupitia Hecheni(Mzambia), Samata na Zamaleki walifunga goli moja.
Kwa matokeo haya Tp mazembe imefikisha point 7 na kujikita katika nafasi ya pili kwenye kundi lake.
Group B:
Al Ahly, 10 points
Mazembe, 7 points
Berekhum Chelsea, 5 points
Zamalek,0 point.
Kwa matokeo haya Tp mazembe imefikisha point 7 na kujikita katika nafasi ya pili kwenye kundi lake.
Group B:
Al Ahly, 10 points
Mazembe, 7 points
Berekhum Chelsea, 5 points
Zamalek,0 point.