EMMANUEL SHOMBE
Member
- Oct 2, 2009
- 89
- 0
kwa jinsi alivyo magufuri hizo sio kampeni. huyo mbona yupo kamili???????
hao samaki tayari washaingizia taifa hasara kama kawaida kutokana na uzembe wa serikali yetu.mambo hayo ya kugawa wangefanya toka mwanzo kama kweli walikuwa na nia yakutupa samaki wetu lakini wakaka kufanya kesi nzito wakati ushahidi wote wanao na wao ndio serikali ni kiais cha kufanya maamuzi tu ilikuwa.hao samaki wangetupa watanzania huku wao wanaendelea na kesi yao au wangeuzwa toka wakati huo hili taifa lipate hela.sasa wameenda kukaa na samaki mpaka nchi imeingia hasara leo ndio wanajifanya wanagawa.wizi mtupu kila kitu dili nchi hii.jaribu kuchunguza nani alilipwa hela za kuifadhi samaki?Jamani waziri ameamua samaki waliwe na wananchi, ninyi mnaleta maneno mengi.
Hivi angeamua kuchukua 10% yake toka kwa hao wavuvi haramu na akawacha waendelee zao ingekuwa faida ya nani?
Na wangeliwaje wakati kesi ilikuwa bado inashughulikiwa kujua uhalali wa hao wavuvi waliovamia maji yetu.
Mwacheni afanye kazi yake. Sidhani kama Magufuli anaweza kuwauwa wananchi wake kwa kuwapa chakula kibaya. Kama kilihifadhiwa vyema haina shida.
Mbona mnaletewa expired food/bidhaa toka nche ya nchi na zimejaa madukani kibao na hamsemi?? sembuse samaki wetu??? Ama kweli huwazi kumfurahisha binadamu.
Lakini kwa muda waliokaa kwenye barafu, kweli watakuwa bado wanafaa kwa matumizi ya binadamu, isije ikawa wateja wamekosekana ndo wakaamua kuwauza, baada ya miezi kadhaa magonjwa ya ajabu yanaibuka,
Mwenye majibu atusaidie:-
Samaki waliokamatwa na Magufuri walikwenda wapi?
Ile meli ilikwenda wapi?
Najua kesi ilishakwisha je hatudaiwi?
Inaonesha ni kiasi gani ulivyovamia siasa, rudi MMU ndo saizi yako
Jamani waziri ameamua samaki waliwe na wananchi, ninyi mnaleta maneno mengi.
Hivi angeamua kuchukua 10% yake toka kwa hao wavuvi haramu na akawacha waendelee zao ingekuwa faida ya nani?
Na wangeliwaje wakati kesi ilikuwa bado inashughulikiwa kujua uhalali wa hao wavuvi waliovamia maji yetu.
Mwacheni afanye kazi yake. Sidhani kama Magufuli anaweza kuwauwa wananchi wake kwa kuwapa chakula kibaya. Kama kilihifadhiwa vyema haina shida.
Mbona mnaletewa expired food/bidhaa toka nche ya nchi na zimejaa madukani kibao na hamsemi?? sembuse samaki wetu??? Ama kweli huwazi kumfurahisha binadamu.
Tuliwala wote. Aisee kuna watu wanafaidi sana. Ile minofu ya samaki sijawahi kula kabla ya kutuonjesha Magufuli. Akiwa Rais nadhani kile ndo kitakuwa kitoweo chetu na si hawa udufi