Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Nov 10, 2009 #1 Wale samaki waliokamatwa, wataanza kugawiwa kesho kutwa kwa wale waliotuma maombi tu, Waziri Maghufuri ametamka hayo leo hii muda mfupi uliopita, Sijui kiafya kama zimekaguliwa na wataalamu,
Wale samaki waliokamatwa, wataanza kugawiwa kesho kutwa kwa wale waliotuma maombi tu, Waziri Maghufuri ametamka hayo leo hii muda mfupi uliopita, Sijui kiafya kama zimekaguliwa na wataalamu,
Kaitaba JF-Expert Member Jun 30, 2009 916 52 Nov 10, 2009 Thread starter #3 Masaki said: Wizi mtupu! Click to expand... Wanadai eti wakiwauza, kuna uwezekano wa maalamia waliowatuma kuwanunua, na ni vyema watanzani wakafaidi maliasiri yao, Kwa hiyo walisubili watuvulie ndio tupate kufaidi maliasiri yetu?
Masaki said: Wizi mtupu! Click to expand... Wanadai eti wakiwauza, kuna uwezekano wa maalamia waliowatuma kuwanunua, na ni vyema watanzani wakafaidi maliasiri yao, Kwa hiyo walisubili watuvulie ndio tupate kufaidi maliasiri yetu?
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Nov 10, 2009 #4 Sasa siku zote hizo walikuwa wanangoja nini kuwagawa??