<br />KWA WANAOPITA NYUMA YA HILI JENGO KUKIMBIA FOLEN MTAONA KUNA CANTER<br />
MOJA LIMEJAZA MASAMAKI YAMEBANDIKWA KWENYE COVER YAKE AFCAST SIKUSOMA VIZURI LEBO YAKE <br />
ALAFU WAMEANDIKA MADE IN TANZANIA HUKU WAMAM KWA VIJANA WAKIGOMBANIA <br />
<br />
TULIPODADISI TUKAAMBIWA NI MOJA YA KALE KAMZIGO KA JAPAN NA KIMETOLEWA FASTA<br />
KIMALIZIKE HUKU HUKU WAKIDAI WATU WA KAWE NA MBEZI BEACH AWAKUBAHATIKA KUPATA<br />
ILE MIZIGO YA KWANZA..HATA HIVYO KWA MBELE KULIKUWA NA MAPOLISI WENYE BUNDUKI<br />
WAWILI WAKILINDA SASA SIJUI WANALINDA NINI IKABDI TUKIMBIILIE KWANZA KWA MABWANA ZETU<br />
(oFISINI) MLIOKARIBU EMBU TUJUZENI NIKWELI MADE IN TANZANIA .
<br /><b>Daah, wale wa Magufuli niliwaonja, watamu sana! Hao wenye mionzi nitawatafuta tu nionje walau wawili!</b>
<br />
<br />
<br />
Umefanya vizuri kutoa hizi taarifa mkuu manake kama mlivyosikia serikali imeomba ushirikiano wa wananchi kutoa taarifa ili kuwezeshwa kukamatwa kwa samaki ambao wameshasambaa mtaani,walichokosea serikali hawajatuambia namna ya kuwaaidentify hao samaki.