Samaki Ukishamvua majini..............?????

Ni kazi ngumu kupata majibu kwenye ushindani!Unapojadili jambo epuka umimi!Utapata jibu!
 
Wengi wetu wanaume tunajisahau na kufikiria kuwa ndoa ni chakula au mavazi au matumizi mengine madogo madogo au hata usafiri
Tunajua kwa mwanamke hapo tumempa kila anachotaka
Ila tendo la ndoa ni ziada ya kile anachotaka na sio haki yake wala sio kwamba ndio msingi wa ndoa na hapo ndipo linapokuja tatizo
Unamuacha mke wako humpi haki yake ya ndoa unakimbilia kwa hawara na mkeo anapata unyumba kwa masharti au pale mimi mwanaume nitakapojisikia
Hapo ndio ugomvi unapoanzia kwenye ndoa

Sasa chakula na mavazi hao wanawake hawakuwahi kupata kabla? Hilo tendo ni moja ya misingi inayoshikilia ndoa, kama halipo sioni maana ya kuitana "wanandoa".

Alafu mimi nilidhani hili tatizo lipo kwa wanawake zaidi (uchoyo wa penzi) kumbe wanaume nao wamo sana tu?
 
Mwanzoni, unapokuwa na hawara unaweza kuona kwamba unapata raha sana, lakini kusema ukweli, at the end of the day ni mateso sana. Pesa, na resources zote tunazopeleka kwa mahawara zimeshindwa kabisa kudumisha ndoa zetu? Kungekwua na raha kiasi gani kama vingebaki ndani ya familia?

Mfanyakazi mwenzetu amenunuliwa gari na hawara/ mke wa mtu. Mumewe amebanwa na nyumba ndogo, yeye naye anatanua kivyake na wanaume wengine. Mumewe kamjengea nyumba hawara, yeye naye kamnunulia gari hawara yake wa kiume. Ikifikia hatua hiyo, atu wa Tanga wanasema: KAMA MBWAI NI MBWAIA BWANA!!! Wewe mwaga ugali, mimi namwaga mboga.

Halafu sometimes sisi wanaume tunakuwa vituko sana
Tuna macho halafu hatuoni na masikio ila hatusikii
Tunayaona mambo yanavyokwenda kwa hao hawara zetu na ndani ya ndoa ila wala hatushtuki
Unawez akukuta ndoa ya mtu imepoa sana yaani mke kila mara hana raha
Anaishi pale kwa mwanaume kwa ajili labda ya watoto wake kutokana na vitendo vinavyofanywa na mume wake
Mume huko kwa hawara anagonga tuu mara gari mara nyumba mara sijui pesa za kupangisha nyumba huku watoto na mke wake wanakula dagaa na kauzu ambao hata hawana raha nao hata kama kimepikwa vizuri kiasi gani kwa kuwa mke ndoa anaiona chungu tayari
Hana raha na mume wake so hata chakula kwake badala ya kuwa kitamu afurahie ndoa yake anakiona kibaya
 
Sasa chakula na mavazi hao wanawake hawakuwahi kupata kabla? Hilo tendo ni moja ya misingi inayoshikilia ndoa, kama halipo sioni maana ya kuitana "wanandoa".

Alafu mimi nilidhani hili tatizo lipo kwa wanawake zaidi (uchoyo wa penzi) kumbe wanaume nao wamo sana tu?

Lizzy tatizo liko hapo kw aupande wetu sisi wanaume kuona kuwa ukishamuoa mwanamke kazi yake ni kupika, kula kufanya usafi wa nyumba na wewe mwanaume kumjazia vyakula na mavazi mazuri ndani ya ndoa
Kile kilichowaweka karibu ambacho ni unyumba kinakuwa kinapatikana kwa masharti hapo atakapojisikia mume
Tatizo sio kwamba hatufanyi ila huko nje kwenye hawara na kidumu wamedominate so kw anje kila kitu kiko sawa ila ukija ndani ni mpaka mwanaume ajisikie kufanya na hapo ndipo tatizo linaanzia
 
Sasa chakula na mavazi hao wanawake hawakuwahi kupata kabla? Hilo tendo ni moja ya misingi inayoshikilia ndoa, kama halipo sioni maana ya kuitana "wanandoa".

Alafu mimi nilidhani hili tatizo lipo kwa wanawake zaidi (uchoyo wa penzi) kumbe wanaume nao wamo sana tu?

Miaka ya karibuni wanaume wakekuwa wanalaumiwa sana kwa hili. Na lawama nyingi zimeelekezwa kuwa na idadi kubwa ya vimada.
 
Halafu sometimes sisi wanaume tunakuwa vituko sana
Tuna macho halafu hatuoni na masikio ila hatusikii
Tunayaona mambo yanavyokwenda kwa hao hawara zetu na ndani ya ndoa ila wala hatushtuki
Unawez akukuta ndoa ya mtu imepoa sana yaani mke kila mara hana raha
Anaishi pale kwa mwanaume kwa ajili labda ya watoto wake kutokana na vitendo vinavyofanywa na mume wake
Mume huko kwa hawara anagonga tuu mara gari mara nyumba mara sijui pesa za kupangisha nyumba huku watoto na mke wake wanakula dagaa na kauzu ambao hata hawana raha nao hata kama kimepikwa vizuri kiasi gani kwa kuwa mke ndoa anaiona chungu tayari
Hana raha na mume wake so hata chakula kwake badala ya kuwa kitamu afurahie ndoa yake anakiona kibaya

Kwa kweli, wanandoa, kwa uzembe wetu wenyewe, tumeishia kujibebesha mizigo mikubwa sana.
Uwaacha watoto wa damu yako wateseke, leo hii ukalee watoto wa hawara?
 
Sex is 1st pillar of successful marriage!

This is the fact which can not be refuted. even Maslow, put sex high on the hierarchy of human needs....
Ukishakula ukashiba, ukishapata social recogniation, next is sex......
 
Kwa kweli, wanandoa, kwa uzembe wetu wenyewe, tumeishia kujibebesha mizigo mikubwa sana.
Uwaacha watoto wa damu yako wateseke, leo hii ukalee watoto wa hawara?


Sometimes akili zetu wanaume tunazijua wenyewe na zinatutosha sisi wenyewe
 
Ila huko nje (nyumba ndogo) ghafla maana inabadilika?
Hao ni watu wasiojielewa.

Kuna wakati familia inakuwa na watoto wadogo, ina maana kutakwua na kelele za watoto na mengine menghi yanayoendana na hilo.
Mbaya zaidi ukute mmezaa mfululizo. Kwa wanaume wasio ana busara, hizo ni kero na perfect excuses ya kwenda kwa hawara.
Kuna baadhi ya wanaume hawalali na wake zao wanapojifungua, kwa kusingizia wanataka kupumzika wasisumbuliwe na kelele za mtoto usiku.
 
Ni kazi ngumu kupata majibu kwenye ushindani!Unapojadili jambo epuka umimi!Utapata jibu!

Unajua hili swala linaweza kuchukua pande zote mbili. Kuna wanaume wengi wanaolalamika kwamba bada ya ndoa wake zao wamebadilika sana, wamekuwa wakali sana, na wakati mwingine wanashindwa kuwatogautisha na watoto wao. wakti mwingine kama mwanaume hana busara, anaweza kuona kuwa kwa hawara ni better option.
 
Mwanamke au Mwanaume wote tunatakiwa kutendeana haki kwani kila mmoja atamuacha baba na mama yake naye ataambana na na mwenzi wake kwanini msipeane haki zenu kqa kupatana?
 
Jana ilikuwa siku ya kwanza ya kazi baada ya mwaka mpya. Kama kawaida wakati wa tea time and hata lunch, colleague hawaachi kulete story za hapa na pale. Basi likaja swala moja ambalo lilileta ubishi na mzozo mkubwa, wanaume wakivuta kwao na wanawake nao wakisema lao. Kuna dada mmoja mwenye ndoa alilalamika kwamba wanaume wengi wanadhani kwamba jukumu lao ni kuoa mwanamke na kumweka ndani, na baada ya hapo ni kuhudumia family kwa mahitaji ya kula, na mavazi., FULL STOP. jukumu jingine la unyumba (ambalo wakina dada walidai kuwa ndio linalowatoa kwa wazazi wao kwenye vitanda na chakula kama kwa waume zao), linasaharika na kupewa umuhimu mdogo. Badala yake, wanaume wengi wanakuwa busy na vimada na mahawara, wanaacha kzai za ndani. Sasa kwa kuwa wanawake nao wanana mahitaji yao ya unyumba, na mume hapatikani, basi ndipo wanapoangukia mikononi mwa serengeti boys/mahawara.

Kwa kweli hadi mwisho hakukuwa na jibu la kueleweka: wanaume wanadia kwamba samaki ukishamvua kutoka majini hukuna haja tena ya kumpa chakula, na wanawake wanasema hawakufuata chakula na vitanda kwa maana hata walipotoka vipo. Wana JF, mnalionaje hilo?

Hii imekaa kama DEBATE YA KISHULE SHULE HIVI
 
Mwanamke au Mwanaume wote tunatakiwa kutendeana haki kwani kila mmoja atamuacha baba na mama yake naye ataambana na na mwenzi wake kwanini msipeane haki zenu kqa kupatana?

Unayoyasema ni "theory" ambazo ni wachache sana kwenye maisha ya ndoa wanatimiza. wengi inakuwa kimyume.
 
lkn mbona wanawake wenyewe ndio huwa na visingizio vingi wakati wanaume wanahitaji tendo la ndoa iweje leo walalamike
 
wanawake tambueni pale mwanaume anapohitaji tendo la ndoa mara ya kwanza , ya pili na tatu ukamkatalia najenga uadui na wewe, anakuona ww sio rafiki yake bali mtu katili na matokeo yake anaenda kutafuta nyumba ndogo ambao wengi wao kila jamaa anapotaka anapewa

hivyo mkiwabania wanaume mjue hayo ndiyo matokeo yake
 
nawashauri wanawake waache visingizio wakati jamaa anataka tendo la ndoa kama kuchoka n.k. ili walinde ndoa zao

vinginevyo wataishia kunawa bila kula na matokeo yake watakula wengine
 
Back
Top Bottom