Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Siku moja mwalimu alikuwa akiwafundisha wanafunzi wake makundi mbalimbali ya viumbe hai,siku hiyo aliamua kuanza kwa kuwauliza maswali wanafunzi.
Mwalimu: Kama kuku yuko katika kundi la ndege,je samaki yuko katika kundi gani?
Mwanafunzi mmoja akasimama nakusema,"Samaki yuko katika kundi la meli"
Umeona kazi hiyo.
Mwalimu: Kama kuku yuko katika kundi la ndege,je samaki yuko katika kundi gani?
Mwanafunzi mmoja akasimama nakusema,"Samaki yuko katika kundi la meli"
Umeona kazi hiyo.