sijakupata vizuri mkuuNaomba msaada me ni member ila huwa najaribu kuchangia maada mbalimbali wanazoanzisha wajumbe ila nimepewa warning kuwa ushiriki wa acount yangu hauonekan hivyo naombeni msaada khs jinsi gani naweza nikatumia jf sahihi kama nyie wenyeji wangu!
Mkuu ndio unazidi kunichanganya kabisa, kwani hii topic si umeanzisha wewe na umeweza kuchangia kwa kunijibu tena mimi?ok ni hiv inshort mkubwa nahitaji maelezo ni vp naweza nikatumia flesh acount yang ya jf nikitaka kuchangia,kuanzisha mada mpya na mengineyo je nifuate step zip hilo ndio tatzo langu(i want 2 enjoy jf)
Mkuu ndio unazidi kunichanganya kabisa, kwani hii topic si umeanzisha wewe na umeweza kuchangia kwa kunijibu tena mimi?
paulls hauna customercare kabisa unajifanya kama humuelewi jamaa,au we mwenyewe chenga u cnt show him how to participate full in JF