Samahani sana Mbw....o

vivian

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
1,749
1,000
Warembo watatu walikuwa wakisifia majina ya wapenzi wao, hususan jinsi ya kufupisha majina pindi wanapotaka kuwaita.
Wa kwanza alisema boyfriend wake anaitwaTusamale, hupenda kumuita Tusa au humuita Male kwa kifupi.
Wa pili alisema yeye wakwake anaitwa Rutatila, na kwamba anapendelea saaana kumuita Ruta lakini mara chachechache humuita Tila.
Ukapita ukimya kidogo, huku hawa wadada wawili wakimuangalia mwenzao. Wakamuuliza shosti mbona upo kimya ?
Kwa sauti ya upole sana akawajibu: "nilikuwa nafikiria... kwani boyfriend wangu anaitwa Mbwambo.
 
Warembo watatu walikuwa wakisifia majina ya wapenzi wao, hususan jinsi ya kufupisha majina pindi wanapotaka kuwaita.
Wa kwanza alisema boyfriend wake anaitwaTusamale, hupenda kumuita Tusa au humuita Male kwa kifupi.
Wa pili alisema yeye wakwake anaitwa Rutatila, na kwamba anapendelea saaana kumuita Ruta lakini mara chachechache humuita Tila.
Ukapita ukimya kidogo, huku hawa wadada wawili wakimuangalia mwenzao. Wakamuuliza shosti mbona upo kimya ?
Kwa sauti ya upole sana akawajibu: "nilikuwa nafikiria... kwani boyfriend wangu anaitwa Mbwambo.

Nahisi kama ingekuwa ni wewe ungependelea option ya pili ya jila hilo! Haahaha kituko
 
i have a doubt abt this JF member so called Vivian...

cjui ndo wale dadazetu waliopo mbele af wana-doo vi2 sivyo ndivyo...? am getting

worried, heshima ni kitu cha bure jamani...hata kama haujulikani kiukweli lakini hiyo

courage ya kulogin JF na kufungua kurasa na kuanza kuandika vitu kama hivyo

unautoa wapi aisee...?
 
Warembo watatu walikuwa wakisifia majina ya wapenzi wao, hususan jinsi ya kufupisha majina pindi wanapotaka kuwaita.
Wa kwanza alisema boyfriend wake anaitwaTusamale, hupenda kumuita Tusa au humuita Male kwa kifupi.
Wa pili alisema yeye wakwake anaitwa Rutatila, na kwamba anapendelea saaana kumuita Ruta lakini mara chachechache humuita Tila.
Ukapita ukimya kidogo, huku hawa wadada wawili wakimuangalia mwenzao. Wakamuuliza shosti mbona upo kimya ?
Kwa sauti ya upole sana akawajibu: "nilikuwa nafikiria... kwani boyfriend wangu anaitwa Mbwambo.

Hapo umenichekesa my dia..kwa hilo nakupa thanks!
 
Kama ilivyo ada Vivian u have made it again

This is what I meant hata mimi ananishangaza

i have a doubt abt this JF member so called Vivian...

cjui ndo wale dadazetu waliopo mbele af wana-doo vi2 sivyo ndivyo...? am getting

worried, heshima ni kitu cha bure jamani...hata kama haujulikani kiukweli lakini hiyo

courage ya kulogin JF na kufungua kurasa na kuanza kuandika vitu kama hivyo

unautoa wapi aisee...?
 
i have a doubt abt this JF member so called Vivian...

cjui ndo wale dadazetu waliopo mbele af wana-doo vi2 sivyo ndivyo...? am getting

worried, heshima ni kitu cha bure jamani...hata kama haujulikani kiukweli lakini hiyo

courage ya kulogin JF na kufungua kurasa na kuanza kuandika vitu kama hivyo

unautoa wapi aisee...?

kwani unaitwa Mbwambo?
 
i have a doubt abt this JF member so called Vivian...

cjui ndo wale dadazetu waliopo mbele af wana-doo vi2 sivyo ndivyo...? am getting

worried, heshima ni kitu cha bure jamani...hata kama haujulikani kiukweli lakini hiyo

courage ya kulogin JF na kufungua kurasa na kuanza kuandika vitu kama hivyo

unautoa wapi aisee...?
ZionTz kwani nini maana ya jokes?
 
i have a doubt abt this JF member so called Vivian...

cjui ndo wale dadazetu waliopo mbele af wana-doo vi2 sivyo ndivyo...? am getting

worried, heshima ni kitu cha bure jamani...hata kama haujulikani kiukweli lakini hiyo

courage ya kulogin JF na kufungua kurasa na kuanza kuandika vitu kama hivyo

unautoa wapi aisee...?
unajua mwanzoni wewe nilidhani ni zd,kumbe wewe ni ZionTz.

muache binamu aandike kila anachoifeel,
au vipi?
ndio maana halisi ya WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.

ukileta sheria zako tofauti milango i wazi:
achia ngazi kama visible
au anzisha blogu yako

AM I CLEAR?
 
unajua mwanzoni wewe nilidhani ni zd,kumbe wewe ni ZionTz.

muache binamu aandike kila anachoifeel,
au vipi?
ndio maana halisi ya WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.

ukileta sheria zako tofauti milango i wazi:
achia ngazi kama visible
au anzisha blogu yako

AM I CLEAR?


Say it again Binamu! Thats my Mpwa
take another one

Thanks! x2
 
ZionTz kwani nini maana ya jokes?

Kwanza kula Thanks!!

Intelince is not pretending to be inteligent! but to be Inteligent you have to differentiate between a joke and a fact!! an Inteligent person will see all the atributes of a joke in the Thread!! I gues Zion T is not a flibbertigibbet,
 
Back
Top Bottom