VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Saa mbili usiku huu nimepokea simu ya nambari ya siri ambapo sauti ya kike ilihanikiza.Mazungumzo yetu mafupi yalikuwa hivi;
Upande wa pili: Hallow!
Mimi: Hallow!,nazungumza na nani mwenzangu?
Upande wa pili: Mimi ni mtoto wa (anamtaja Waziri kwenye Serikali ya Baba Mwanaasha),nazungumza na Vuta-Nkuvute?
Mimi: Ndiyo.Unasemaje ndugu?
Upande wa pili: Samahani nimekosea namba...(simu ikakatwa)
Hivi mambo haya ni halali kweli? Kukosea gani huko jamani?
Upande wa pili: Hallow!
Mimi: Hallow!,nazungumza na nani mwenzangu?
Upande wa pili: Mimi ni mtoto wa (anamtaja Waziri kwenye Serikali ya Baba Mwanaasha),nazungumza na Vuta-Nkuvute?
Mimi: Ndiyo.Unasemaje ndugu?
Upande wa pili: Samahani nimekosea namba...(simu ikakatwa)
Hivi mambo haya ni halali kweli? Kukosea gani huko jamani?