Samahani kwa Kikwete na wana JF

Huu ndio Ushauri niliotoa ukapuuzwa na kuambiwa nina mawazo ya kitoto! Nenda page 16 ya majadiliano

Mwafrika wa Kike,

Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?

I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!

Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
 
Kumchafua Rais ni kuichafua Tanzania,tovuti siyo chumbani ni mahala peupe kwa walimwengu,itoshe tu kwa kukemea upuuzi huu miongoni mwetu na pia mh.Rais atawaliwe na subira ktk jambo hili.
Mungu ambariki ktk kila jambo alitendalo na sisi tuwe nyuma yake daima kwa uaminifu.
Amen
 
Kumchafua Rais ni kuichafua Tanzania,tovuti siyo chumbani ni mahala peupe kwa walimwengu,itoshe tu kwa kukemea upuuzi huu miongoni mwetu na pia mh.Rais atawaliwe na subira ktk jambo hili.
Mungu ambariki ktk kila jambo alitendalo na sisi tuwe nyuma yake daima kwa uaminifu.
Amen
 
Ndugu zangu,,, huu ulikuwa ujumbe wangu, ambao watu walinidhihaki ni kusema ni maneno ya kitoto

Mwafrika wa Kike,

Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?

I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!

Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
 
Sometimes you have to think, not only only twice, but several times before you decide to do what you think is viable.

Huu hapa chini ndio uliokuwa ushauri wangu kwa wahusika, nikadhihakiwa na kuambiwa mimi nina maneno ya kitoto angalia page 16 ya thread ile!
Mwafrika wa Kike,

Kama wewe ni Mzalendo halisi wa nchi yetu hii, ambaye unaitakia mema nchi hii,,, think Again, and then think Again, once you finish to think think again, Try to convience yourself... kwamba utakuwa umefanya kwa masilahi ya nani?

I assure you the moment unaweka huo upuuzi hapa,,, kama mzalendo halisi utaanza kujuta muda huo huo... mimi sio mtu wa kupiga ramli but kwa hekima mwenyezi mungu alizonipa hakika hili nina hakika nalo utajuta!!!

Fuatilia tu washabiki wako... but this is simply nonsense; simply kama rais ni symbol ya taifa, akitukanwa nimetukanwa na mimi pia! Never compare president na mwenyekiti wa Chama!
 
Ok,

Jamani, nimepokea email na PM nyingi sana kuliko uwezo wa server yangu kubeba kuhusu hili swala la kuweka picha hapa za Rais.

Naomba niseme kuwa, wingi wa email za kusikitishwa na kitendo cha kuweka zile picha hapa umezidi uwezo wangu wa kufanya kiburi cha ujana. Nakubaliana na wengi kuwa hakukuwa na maana yoyote ya kuweka zile picha hapa kwenye jamvi la jumuia.

Ni kweli kuwa Kikwete ni rais wa Tanzania na pia ni Rais wangu.
Nakiri kuwa nilikosea kuunga mkono uamuzi wa kuweka picha hapa na pia kuzisambaza kwa baadhi ya watu. Natumia bandiko hili kumuomba rais Kikwete msamaha rasmi kwa kuweka hapa mambo yake binafsi na yasiyostahili kuonyeshwa hadharani.

Ikumbukwe kuwa huu msamaha ni kwa ajili ya picha na hizi habari za ngono na sio upungufu wa Kikwete wa kisiasa na kiuongozi.

Jamani, naomba sana kwa wale niliowatumia picha wazitunze na wala wasizisambaze. Naomba pia samahani kwa wale waliopoteza muda wao kuja kuona picha hapa na kukuta kuwa server imezidiwa.

Samahani kwa wana JF kwa kuwa mmoja wa watu waliosababisha JF kupotea kwa muda fulani. Nakubaliana na wale walioshauri from the begining kuwa nisiweke mambo hayo hapa na samahani sana kwa kutofuata ushauri wenu.

Nimejifunza mengi kutokana na hili na natumaini kuwa wengi wetu tumejifunza kuwa makini. Mimi ni binadamu na kama kawaida ya binadamu, nakiri kukosea.

Namuomba pia msamaha Mwanakijiji kwa yote yaliyotokea kwa upande wangu. Inasikitisha kuwa muda mwingi sana ulipotea wa kujadili maisha ya watoto wanaokufa kwa magonjwa yanayotibika na badala yake ukatumika kumjadili mtu binafsi na mambo yake afanyayo sirini.

Masaa 24 yaliyopita yamekuwa mazito sana kuhimili. Naahidi tena kuwa sitatumia muda wangu wa thamani kujadili masuala ya binafsi na ya ngono za watu wazima.

Naomba msamaha na nategemea kusamehewa. Hata hivyo nitaelewa pia kama wengine watachukua muda mrefu kunisamehe. Nawakumbusha wale wanaofikiri kuwa mimi ni mwendesha mambo hapa JF kuwa sina hata hisa moja ya kumiliki au kuendesha JF ingawa nasikitika iwapo chombo hiki kitazidiwa nguvu kwa mambo ambayo nimesababisha mimi.

Kwa hili nawaomba msamaha rasmi Invisible na wenzake wanaofanya kazi hii bila kulipwa na yeyote. Invisible tafadhali sikiliza message yangu nimekuachia kwenye simu yako.

Asante, na naomba tuendelee kumkoma Nyani giladi hapa hapa JF.

Slogan yako inapingana na uamuzi wako kwahiyo you have made history and that history may have many interpritation to the readers never ever give up easily like that au umebanwa na SO wake ikabidi u-give up.
 
"Well Behaved Women Never Make History"

Nawe umo katika hao Well Behaved Women?

Ukijibu swali hilo ndipo nitafikiria juu ya msamaha uliotuomba.
 
Achaneni nao, dawa ni kuwazomea tu kama wanavyozomewa viongozi mafisadi.

Akina Mwafrika na Mwanakijiji
Wamehishiwa Hoja wanatoa Vioja!
 
Achaneni nao, dawa ni kuwazomea tu kama wanavyozomewa viongozi mafisadi.Akina Mwafrika na Mwanakijiji
Wamehishiwa Hoja wanatoa Vioja!

FD unataka kutuambia Mwafrika wa K na Mwanakijiji ni wanamtandao?
 
Nahitaji majibu ili isije tena kesho akalipuka halafu tukashangaa.

Haiwezekani wanabodi wakapotezewa muda kwa ahadi za uongo, mashambulizi na kashfa kwa kiongozi wa nchi kisha kirahisi rahisi mtu anasema asemehewe.
 
Hivyo, sijasema mahali hata pamoja kuwa kuna picha ya JK inayomuonesha "akifanya mapenzi na wanawake"... Ila zipo picha zinazomuonesha katika anga mbaya.

Mkuu MMJ,

Heshima mbele mkuu, ninakuheshimu sana, sio wewe uliyesema kuwa kama ni ngono basi utatuonyesha, sasa kumbe haikuwa ngono za rais ila ulisema anga mbaya, is that so?

Never said that either...
 
Huyo Kikwete sio mwanachama hapa JF ukitaka kumuomba msamaha mpigie simu, mtumie email, barua au njia nyingine ili apate huo "msamaha"

Halafu unaomba msamaha au unatoa kejeli? picha hakuna na unang'ang'ania unazo, kama unazo ushapewa rukhsa mwaga hapa...

Nilisema mapema Watson is right....

Habari za picha za Kikwete niliziweka hapa, so kinachofuata baada ya hapo kitawekwa hapa hapa. Kama hilo linakuuma inabidi umeze asprin kama mia mbili or so
 
That is great mwafrika wa kike, japokuwa wengine hatukuona hizi picha. I am so pleased with your words. Huo ndio utanzania, umeonyesha njia, Tuendelee na kazi, ile ya kutafakari!

Thanks Kitila,

Kazi ndio mbona imeanza, website imesharudi hewani ikiwa imeongezewa nguvu zaidi sasa na kama kawaida mwafrika wa kike is here to stay!
 
At least umepata courage ya kuomba msamaha kitu ambacho ni kigumu kwa wengi> By the way people, mlitaka afanyeje mnaozidi kumlaumu? maana kuna pande mbili wengine wanataka aweke na wengine asiweke. alipoamua kuanza kuweka kalaumiwa na even kukatazwa, alipoacha wengine pia wanasema hana lolote kawapotezea muda. kweli JF kiboko. kwa ufupi. mi naona alikuwa fair tu kwa kambi zote mbili hivyo mwacheni tu.
 
Habari za picha za Kikwete niliziweka hapa, so kinachofuata baada ya hapo kitawekwa hapa hapa. Kama hilo linakuuma inabidi umeze asprin kama mia mbili or so

Jamani Watanzania wenzangu,,, hili limeisha tuachane nalo,,, sasa masikio yetu na uchambuzi wetu uhamie DODOMA!!!

Mwafrika wa Kike,,, achana nao sasa, inatosha!
 
Back
Top Bottom