Samahani kama itawakwaza

labda tuseme zile dhambi ambazo huzijui kama umezitenda ,ila unazozijua huwa hata ukijombea msamaha roho inakushitaki

Tatizo lako una imani ndogo!biblia inasema ukishaomba msamaha kwa kukiri moyoni mwako kwa udhati kabisa amini umesamehewa!na Mungu wetu ni mwenye huruma na upendo usamehe mara zote hata uwe umekosea nini.Tatizo lako ni hapo kwenye mashaka hutakiwi kuwa na doubts.Let me give u these words,
Faith is being certain of what is to happen
If u don't forgive yourself what God has forgiven u then u are committing a great crime against the highest court of appeal to whom God is the judge.
 
naamini hivyo.Hizi ni taratibu za madhehebu tu binadamu walivojipangia na wala sio utaratibu wa Mungu.
Kwa mfano kwa wakatoliki ni mpaka uende ukatubu kwa padri au askofu.
Lakini kwa sisi walokole hamna hiyo hata ukipiga magoti chumbani kwako ukaomba Mungu anasikia vilevile.

hiyo kali....hata ukitaka ubatizo wajibatiza mwenyewe.....ndoa mwajifungisha wenyewe .
lakini sijui mmetoa wapi kwani maandiko yanasema hivi....akawavuvia Roho Mt......mtakaowaondolea dhambi basi wameondolewa
na mtakaowafungia na Mbinguni wamefungiwa. Hakusema mkajiondolee dhambi......anyway ndo maana makanisa yanazaliana kwa kasi hivyo.
 
Safi Excellent! Hii imeingia kwenye Fungua Mwaka Bora. Ila badilisha title ya hii thread isomeke: 'Samahani kama utacheka sana!'
 
Jamaa kaenda kwa mchungaji kutubu dhambi!
Mchungaji:kiri dhambi zako mwenyewe nikutubishe.
Jamaa:mchungaji mimi nimefanya dhambi ya uzinzi na wanawake wengi kanisani
Mchu:wataje kwa majina ili nao wajue dhambi zao na niwatubishe
Jamaa:naona aibu sana
Mchu:sasa chakufanya ili usione aibu,tutaenda kukaa mbele ya geti wanapoingilia waumini,mda wa mafunzo ya
kwaya ukifika utaona wanaanza kuingia,akikatiza mwanamke ambaye ulizini naye we sema ''pauuuu''
Jamaa:sawa mchungaji.

Anaingia msichana wa kwanza,jamaa anasema ''pau''
mchungaji:umesamehewa
Anakatiza msichana wa pili jamaa anasema ''pauuu'
Mchu:umesamehe
Anakatiza wa tatu jamaa 'pau''
mchungaji:umesamehewa
Anapita wa nne jamaa ''pauuu''
Mchungaji:umesamehewa
Akapita kwaya master jamaa "pauu"
Mchg:umesamehewa
Akakatiza mke wa mchungaji Jamaa ''Pauuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu'''
Mchu;Toka pepo mchafu,kwa hilo''hujasamehewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa'''
Hakupita mtoto wa kike wa Pastor?
 
Back
Top Bottom