Unajua bana mbu mbwembwe za redioni na za kwenye tv lazima ziwe na utofauti.. Kama unajua unaonekana mbele za watu basi angalau weka mbwembwe ambazo hazitakuwa irritating! Sam mahela unakuta anatangaza issue ambayo ni muhimu then anaweka hizo pozi zisizo za lazima.. Anakuwa kama ana act vile..