Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hivi hawa wanahabari wa ITV ni huwa wanajifanyisha au ni ndivyo walivyo? Hebu muoneni huyu Sam Mahela....anzia kwenye dakika ya 3:39.....
Last edited by a moderator:
NN mm wa TECNO umenifikiriaje!...walahi hujanitendea haki!..
huyu jamaa anambwembwe sana pia nilipata habari kuwa ni chakula cha watu sijui kweli?
huyu jamaa anambwembwe sana pia nilipata habari kuwa ni chakula cha watu sijui kweli?
Dogo nimekuandalia zawadi ya Iphone ya ukweli....ntakupa siku ya birthday yako....NN mm wa TECNO umenifikiriaje!...walahi hujanitendea haki!..
Mbona wote wanakashfa sasa tutaogopa kufanya shughuli ambazo zitatufanya tujurikane sasa.
Daaaah
nn kwani? kweli au si kweli
Lolkamchina kamegoma....
aaaah mi sijui hataAaah mi sijui bana. Wewe unajua?
wanaume wa siku hizi kwani wanaume bas aaah
Mi hayo mapozi mpaka kichwa kinapinda then jina lake analitaja kwa pause hata sijaipenda! I think watangazaji wa ITV wana hako katabia sana..