Salva Rweyemamu SIYO Mtanzania(?)

Duh wewe umepiga misele kidongo chekundu nini? alafu pale nyuma ya jengo la Ushirika kulikuwa na basi linaondokea pale kwenda Kagera.

Naomba kukusoa Nyuma ya Jengo la Ushirika kulikuwa hakuna KITUO CHA BASI bali kituo cha mabasi kilikuwa mbele ya KIDONGO CHEKUNDU au MBELE YA JENGO LA USHIRIKA...sijui yale mabasi yalikuwa yanaenda wapi lakini najua yalikuwa yanaenda bara

Nyuma ya jengo la Ushirika kulikuwa na jengo JIPYA la mzee mmoja wakichagga ambaye ni architect ambalo aliita NEW CO ARCHITECTURE BUILDING...lake la zamani ni lile lilokuwa mtaa wa Uhuru Opposite na CALTEX lilikuwa linatazamana na hoteli ya KIBODYA ambayo wale rafiki zake SALVA walikuwa wanafikia....sasa OFISI yao ambayo SALVA in the late 90's alikuwa anafrequent ilikuwa nyuma ya jengo la SUKITA ambako zamani kulikuwa ni ofisi ya lawyer mmoja maarufu Dar ambaye baade BEN alimpa uwaziri au something like that...sasa nyuma ya jengo lile ndiko ma swahiba zake SALVA ambao walikuwa ni CNDD walikuwa na ofisi pale
 
SWAHIB

I will stand by maneno yangu kule kwenye thread ya WAKENYA na hali kadhalika i am standing by haya ninayosema humu kuhusu SALVA

kama yamekuudhi then dela with it lakini siwezi kunyamaza wakati MWALIMU anatukanwa...I am sorry kama hilo limekuudhi sana then nenda ukawajoin


labda unaweza kuendelea katika thread hii niliyoanzaisha sometimes back

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=1867


lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa watu wana question URAIA WA SALVA


Hapo ndipo udhaifu wakoi ulipo. Mungu anatukanwa sembuse Mwalimu kukosolewa? Mbona mwenyewe alitukanwa akiwa hai, tena Mtikila alimpelekea mwenyewe kanda zake zile za matusi...Hakusema kabila la akina Mtikila wamemtukana, wala hakuchukua hatua. Kwa nini wewe unasema "Wakenya" kana kwamba wakenya walikuwa wanaimba kiitikio cha matusi dhidi yetu, kumbe ni mwandishi mmoja na mwenzake wanafnaya tathmini wanayoijua, mbaya aua nzuri kwetu...

Na mbona udhaifu wenyewe huo wanaousema hao unaowaita "Wakenya" na sisi wenyewe tunaujadili hapa? Sasa kama unajua kupigana si uwafuate huko upigane nao tujue umewamaga damu yako kwa kutetea Watanzania dhidi ya "Wakenya?" Mbona hata hapa Bongo wapo Watz wa hovyo kabisa, tena wengine wapo madarakani?

Ni ujinga kuchukua kauli ya mtu na kuifanya ya taifa la watu milioni 35.

Kuhusu uraia, kumbuka yaliyomkuta Mkapa wananchi walivyomdharau kwa hatua yake dhidi ya Ulimwengu. Kwa wanaomfahamu Ulimwengu ni bora mara mia kuliko Mkapa. Nimesema hakuna aliyechagua wazazi wala mahali pa kuzaliwa. Si ajabu hata wewe si mtoto wa baba yako, labda mama yako alilala na Mkenya akapata mimba ya "baba yako" ukazaliwa Kisarawe. Bado hiyo haikufanyi uwe bora kulio Shy aliyezaliwa Old Moshi. Tunachosema hapa muhimu ni UZALENDO.
 
wote wanachanganywa, wote ni muhimu kwa wakati mmoja, mmoja asije akavuka mipaka na akawa juu ikawa too late kumtoa !
 
Naomba kukusoa Nyuma ya Jengo la Ushirika kulikuwa hakuna KITUO CHA BASI bali kituo cha mabasi kilikuwa mbele ya KIDONGO CHEKUNDU au MBELE YA JENGO LA USHIRIKA...sijui yale mabasi yalikuwa yanaenda wapi lakini najua yalikuwa yanaenda bara

Nyuma ya jengo la Ushirika kulikuwa na jengo JIPYA la mzee mmoja wakichagga ambaye ni architect ambalo aliita NEW CO ARCHITECTURE BUILDING...lake la zamani ni lile lilokuwa mtaa wa Uhuru Opposite na CALTEX lilikuwa linatazamana na hoteli ya KIBODYA ambayo wale rafiki zake SALVA walikuwa wanafikia....sasa OFISI yao ambayo SALVA in the late 90's alikuwa anafrequent ilikuwa nyuma ya jengo la SUKITA ambako zamani kulikuwa ni ofisi ya lawyer mmoja maarufu Dar ambaye baade BEN alimpa uwaziri au something like that...sasa nyuma ya jengo lile ndiko ma swahiba zake SALVA ambao walikuwa ni CNDD walikuwa na ofisi pale

Huko sawa, Ila sikumbuki hata lile jengo mbele au nyuma ni wapi nakumbuka mlango wa kuingilia na ninajua upande mmoja kulikuwa na Riki Hill Hotel na Upande wa pili ndio kulikuwa na Sukita
 
Hapo ndipo udhaifu wakoi ulipo. Mungu anatukanwa sembuse Mwalimu kukosolewa? Mbona mwenyewe alitukanwa akiwa hai, tena Mtikila alimpelekea mwenyewe kanda zake zile za matusi...Hakusema kabila la akina Mtikila wamemtukana, wala hakuchukua hatua. Kwa nini wewe unasema "Wakenya" kana kwamba wakenya walikuwa wanaimba kiitikio cha matusi dhidi yetu, kumbe ni mwandishi mmoja na mwenzake wanafnaya tathmini wanayoijua, mbaya aua nzuri kwetu...

Na mbona udhaifu wenyewe huo wanaousema hao unaowaita "Wakenya" na sisi wenyewe tunaujadili hapa? Sasa kama unajua kupigana si uwafuate huko upigane nao tujue umewamaga damu yako kwa kutetea Watanzania dhidi ya "Wakenya?" Mbona hata hapa Bongo wapo Watz wa hovyo kabisa, tena wengine wapo madarakani?

Ni ujinga kuchukua kauli ya mtu na kuifanya ya taifa la watu milioni 35.

Kuhusu uraia, kumbuka yaliyomkuta Mkapa wananchi walivyomdharau kwa hatua yake dhidi ya Ulimwengu. Kwa wanaomfahamu Ulimwengu ni bora mara mia kuliko Mkapa. Nimesema hakuna aliyechagua wazazi wala mahali pa kuzaliwa. Si ajabu hata wewe si mtoto wa baba yako, labda mama yako alilala na Mkenya akapata mimba ya "baba yako" ukazaliwa Kisarawe. Bado hiyo haikufanyi uwe bora kulio Shy aliyezaliwa Old Moshi. Tunachosema hapa muhimu ni UZALENDO.

duh, sasa naona humu kuna matusi si ajabu !
 
Hapo ndipo udhaifu wakoi ulipo. Mungu anatukanwa sembuse Mwalimu kukosolewa? Mbona mwenyewe alitukanwa akiwa hai, tena Mtikila alimpelekea mwenyewe kanda zake zile za matusi...Hakusema kabila la akina Mtikila wamemtukana, wala hakuchukua hatua. Kwa nini wewe unasema "Wakenya" kana kwamba wakenya walikuwa wanaimba kiitikio cha matusi dhidi yetu, kumbe ni mwandishi mmoja na mwenzake wanafnaya tathmini wanayoijua, mbaya aua nzuri kwetu...

Na mbona udhaifu wenyewe huo wanaousema hao unaowaita "Wakenya" na sisi wenyewe tunaujadili hapa? Sasa kama unajua kupigana si uwafuate huko upigane nao tujue umewamaga damu yako kwa kutetea Watanzania dhidi ya "Wakenya?" Mbona hata hapa Bongo wapo Watz wa hovyo kabisa, tena wengine wapo madarakani?

Ni ujinga kuchukua kauli ya mtu na kuifanya ya taifa la watu milioni 35.

Kuhusu uraia, kumbuka yaliyomkuta Mkapa wananchi walivyomdharau kwa hatua yake dhidi ya Ulimwengu. Kwa wanaomfahamu Ulimwengu ni bora mara mia kuliko Mkapa. Nimesema hakuna aliyechagua wazazi wala mahali pa kuzaliwa. Si ajabu hata wewe si mtoto wa baba yako, labda mama yako alilala na Mkenya akapata mimba ya "baba yako" ukazaliwa Kisarawe. Bado hiyo haikufanyi uwe bora kulio Shy aliyezaliwa Old Moshi. Tunachosema hapa muhimu ni UZALENDO.



SIPENDI KUBISHANA NA WEWE, HAIPENDEZI
 
Huko sawa, Ila sikumbuki hata lile jengo mbele au nyuma ni wapi nakumbuka mlango wa kuingilia na ninajua upande mmoja kulikuwa na Riki Hill Hotel na Upande wa pili ndio kulikuwa na Sukita

SASA WEWE HAIKO MBALI SANA

Mtaa wa mbele wa RIKI HILL HOTEL yaani ndo huo mtaa mabao SUKITA ilipo

Huyo Chagga wa RIKI HILL ni mmoja kati ya wachagga wa chache ambao ni makini sana..Jamaa anaitwa HANS MACHA

kawasaidia jamaa kama sita hivi ambao walikuwa na I-20 za Lincoln , Missouri lakini walikuwa hawana Statement ya kuonana na NAFISA ubalozi wa States ...kule chini kwa Dewji enzi hizo

Mwananagu itakuwa tushakutana basi...maana pembeni kidogo pale kuna Jengo la Hasssan Afif aliyeWahi kuchezea Simba (NAYE SIYO MTANZANIA YULE)
 
SASA WEWE HAIKO MBALI SANA

Mtaa wa mbele wa RIKI HILL HOTEL yaani ndo huo mtaa mabao SUKITA ilipo

Huyo Chagga wa RIKI HILL ni mmoja kati ya wachagga wa chache ambao ni makini sana

kawasaidia jamaa kama sita hivi ambao walikuwa na I-20 za Lincoln , Missouri lakini walikuwa hawana Statement ya kuonana na NAFISA ubalozi wa States ...kule chini kwa Dewji enzi hizo

Mwananagu itakuwa tushakutana basi...maana pembeni kidogo pale kuna Jengo la Hasssan Afif aliyeWahi kuchezea Simba (NAYE SIYO MTANZANIA YULE)

Ha ha Umenikumbusha mbali sana wewe, nimekulia kidongo chekundu(Co Cabs building) enzi hizo hawajaweka ukuta na kulikuwa gereji bubu kibao tumecheza soka pale Kisarawe Primary.

Alafu ni kweli mitaa ile kulikuwa na Warundi wengi sana, mimi nikawa najua ni wafanya biashara wanafikia hoteli(Kibodya zote mbili, Riki Hill) za maeneo ya pale, ngoja nijaribu kuulizia ulizia kidogo.
 
Kama wazazi wa Salva walikuwa ni raia wa nchi nyingine wakati Tanganyika inapata Uhuru au kabla tu ya Muungano (wakiwa wamezaliwa nje ya eneo la tanzania) basi Salva siyo Raia unless alipofikisha miaka 18 aliuakana uraia wa wazazi wake.

Kwa vile tunataka utawala wa sheria, kama Salva hakuukana uraia wa wazazi wake na miaka yote hii amekuwa akiishi akifikiria yeye ni Mtanzania wakati umefika aende mahakamani na kuukana uraia wa wazazi wake na kuomba uraia wa Tanzania na akikubaliwa (kama hakuna mtu mwenye pingamizi linaloweza kusimama kisheria) basi anaweza kuendelea na wajibu wake.


Wengi wetu tunaposikia majina kama ya Rutasingwa na Rweyemamu tunafikiri ni Wahaya wote! Hivyo hatuendi mbali zaidi. Sisi tulioishi maeneo ya Ngara na pembezoni mwa mikoa hiyo tunajua jinsi majina haya yalivyovuka mipaka, kama vile ukienda maeneo ya Udigoni kule Tanga utaona majina ya koo yanafanana na majina ya watu wa Miji Kenda.
 
Mwanakijiji nakuunga mkono kwa hayo uliyoyaeleza hapo juuu....nashangaa kuna watu hawataki kabisa mamabo haya yasijadiliwe
 
salva-2.jpg


haya huyo hapo !

http://bp2.blogger.com/_stxylFr6jLM/Ru-V_wUS46I/AAAAAAAAFnU/7lVb4_MQjTg/s1600-h/salva-2.jpg
 
Ha ha Umenikumbusha mbali sana wewe, nimekulia kidongo chekundu(Co Cabs building) enzi hizo hawajaweka ukuta na kulikuwa gereji bubu kibao tumecheza soka pale Kisarawe Primary.

Alafu ni kweli mitaa ile kulikuwa na Warundi wengi sana, mimi nikawa najua ni wafanya biashara wanafikia hoteli(Kibodya zote mbili, Riki Hill) za maeneo ya pale, ngoja nijaribu kuulizia ulizia kidogo.

Yah...sasa umekubali kama mitaa ile ilikuwa imjejaaa sana WARUNDI eeeh?

sasa mid 1998 kulikuwa na Ugomvi mkubwa sana kule Burundi na CNDD walikuwa na tawi lao la kivita ambalo lilijitika kwenye makambi huko Ngara na Benako...walikuwa wana kitengo chao ya kivita kilichokuwa kinaitwa FDD sasa wale walikuwa na Ofisi kwenye ule mtaa nafikiri shaurimoyo tena hapa mwanzoni tuuuu...sasa mweznio SALVA alikuwa ana kuja sana pale na mizunguko ilikuwa mingi sana

Sasa umezungumzia Jengo la SUKITA sasa mle ndani ndiko kulikuwa ndiko ofisi za advocate MVUNGI zilikokuwa enzi hizo bado alikuwa lecturer UD na kuna kipindi jamaa zao akina Salva walitaka kukodisha Ofisi mle lakini sijui kulitokea nini

Sijasema kama Salva si Mtanzania lakini nimejaribu ku connect the dots naona kama hii puzzle inaelekea elekea na katika kuondoa haya bora aje front na ayaweke wazi haya ya Uraia wake kisha tutafocus kwenye utendaji wake wa kazi(kama bado atakuwa anayo)
 
inawezekana na wewe samvu ukawa mrundi ! i doubt your citizenship kijana !

hahahaaaa

kwa kuwajua hap warundi?

sasa nikikuambia kuhusu MOSHI MAJUNGU na WANYARWANDA wake kule MIKOCHENI naona Utasema mimi ni Mnyarwanda

Na nikikuambia kuhusu mama RWAKATARE huyu ni Mikocheni B na WanyRWANDA najua utasema mimi ni MHAYA

Shkhe basi tuuu sie wengine hatuna tatizo na wegeni kutafuta Rizki as long as wanaheshimu sheria then sina tatizo

Tatizo ni pale kumchagua Mnyarwanda badala ya Mtanzania kuwa board member wa Benki kuu hiyo ndiyo inaleta Hasira...sasa kama ni kweli au la lakini haya mambo yasipokuwa ironed out nadhani huko tunako elekea si kuzuri

Cha ajabu watu wakizungumzia mamabo haya wanaambiwa ohhh mnaleta mbegu za chuki ohhhh msiwachukie wageni and so on
 
Yah hata MKAPA alikuwa Intelligent kila kikicha anaandika mi THESIS alipoondoka ndio mnastuka kuwa zile hazikuwa thesis bali ni mi business plans

kp_100.jpg
 
Zaidi ya kurushiana madongo naona kuna upande ambao unatumia nguvu zooote kupindisha hoja ya Mwanakijijiji. Nadhani hapa tutambue kuwa kama endapo tulishawahi kulipa odi zetu na kuwasomesha baadhi ya wageni kutoka huko (kwa kina salva) na wameenda kutumikia nchi zao za asili bila ya kutulipa chetu, ni lazma tuanze kujihoji na kutambua nani yupo upande wetu na nani ni kinyume chetu...
Tunapenda na kuamini kuwa waafrika ni ndugu zetu lakini kuna protokali za kutufikisha huko ambazo kama zisipotiliwa maanani tutakuwa mafaza krismass kwa sana. Naungana na Mwanakijiji kuhoji uraia wa slava maana kama ni kweli ana utata ktk uraia wake basi naanza kuhisi kuwa kuna ajenda ya siri ktk ukanda wetu wa mashariki....
Ni kweli kwamba Mwalimu alisema kuwa tukianza kuhoji uraia itakutwa sie wote sio raia halali, lakini nadhani kama tukiwa mabubu na kutojitambua na kuhoji uhalali wetu wa kuwepo hapa basi hatutafika huko tunapotaka twende... I mean tutataabika kujenga nchi za wenzetu huku tukitelekeza kwetu...

mmenisoma hapo??
 
Back
Top Bottom