Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
lakini pia haifai kwa mtu kuendesha maisha yake binafsi kwa kutumia fedha za ummaHaya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
lakini pia haifai kwa mtu kuendesha maisha yake binafsi kwa kutumia fedha za ummaHaya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Tukisema njaa wanaona wametukanwa lakini ukweli utabaki pale pale kuwa siyo sahihi kiongozi wa nchi kuishi kama mapedeshee wanavyoishi hapa Bongo kazi yao ni kuwinda wanawake mstaa na kushinda club.Baada ya kazi ipi? Yani kusafiri toka dar mpa hapa ndo kazi?
Kuna ulazima gani wa kusafiri na kundi la watu zaidi 50? Tatizo vijana mliotumwa kuitetea serikali katka mitandao ya kijamiii hamkupewa nature ya mwajiri wenu na kazi yenu!!
Rudia tena kuisoma hii thread usisome kama gazeti la udaku mkuu!
Kinachotajwa hapo ni Ikulu!
Ngoja niwasilia na huko nitajua ila kulikuwa na mpango wakuzima jamaa asipewe hilo shavuMkuu, nimekupata vipi na ile habari ya Tido Muhando, kuwa boss wa El Jazzira ilishia wapi?
Kama ni kweli huu utakuwa ni ufisadi mwingine kaufanya JK na kundi lake..
Uchumi unazidi kushuka Tanzania shilingi kila kukicha inazidi kuanguka
Ikiwa hayo ni ya kweli basi JK uwezo wake wa kufikiri utakuwa umepungua sana, na kibaya zaidi wapambe wake nao watakuwa wamelevywa na starehe wakasahau kumshauri JK mambo yaliyo sahihi kabisa.
Kwa mawazo mgando niliyoyaona kule Twitter kama ni yeye Ikulu inabidi iombewe sana hali ibadilike, ikibidi hata kuwaombea vifo wafe ili Mungu atupe machaguo mengine.Yule Salva wa kwenye Twitter ndiye huyu huyu wa Ikulu au ni fake ID mtu kaifanya? maana kama ni kweli ni hatari kubwa mno...huuh
Kwa mawazo mgando niliyoyaona kule Twitter kama ni yeye Ikulu inabidi iombewe sana hali ibadilike, ikibidi hata kuwaombea vifo wafe ili Mungu atupe machaguo mengine.
Ni yeye halisi! Tena jana alilewa akawa ana tt ujinga ile mbaya!!Kwa mawazo mgando niliyoyaona kule Twitter kama ni yeye Ikulu inabidi iombewe sana hali ibadilike, ikibidi hata kuwaombea vifo wafe ili Mungu atupe machaguo mengine.
Ni yeye mkuu! Alivyo mshamba juzi kati watu wame haki account yake basi jana ameng'aka kama demuYule Salva wa kwenye Twitter ndiye huyu huyu wa Ikulu au ni fake ID mtu kaifanya? maana kama ni kweli ni hatari kubwa mno...huuh
aise nimeona mkuu kama watu hawaja HACK ILE USER YAKE KAZI IPO ...Ni yeye halisi! Tena jana alilewa akawa ana tt ujinga ile mbaya!!
Yule Salva wa kwenye Twitter ndiye huyu huyu wa Ikulu au ni fake ID mtu kaifanya? maana kama ni kweli ni hatari kubwa mno...huuh
Haya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Mkuu, unamsema Ridhiwan huyu mtoto wa JK au mwingine?
Mbona jana nimemuona pale
ofisi za IMMMA?