TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Ikiwa hayo ni ya kweli basi JK uwezo wake wa kufikiri utakuwa umepungua sana, na kibaya zaidi wapambe wake nao watakuwa wamelevywa na starehe wakasahau kumshauri JK mambo yaliyo sahihi kabisa.Imenishangaza sana ktk huu msafara ambao sababu ya kuwahi huku haina tija kwa taifa letu kabisa!
Dalili za burudani ktk msafa huu niliziona tangu awali na nikapenyeza ushauri wa kupinga kuwahi bila mafanikio.
Lakini jana ktk mazingira nisiyo amini baba riz1 akatuamuru tumpeleke akale bata kwenye Kasino la maraha lililopo ktk jiji la Perth hapa Australia.
Hali ndiyo hiyo watanzania wenzangu hakuna cha mikutano ya wabeba box wala nini mkutano kamili unaaza ijumaa ila sisi ni bata kwenda mbele!
Bahati mbaya sikuwa na camera lakini wale wenye account ya twitter wamfollow ***** Salva maana yeye ndie alikuwa na kamera na tuliporudi hotelini akawa anaziweka twitter bila hata aibu!
Haya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Ni huku bongo lakini ukiwa na madaraka fulani kama rais kuna mambo ambayo ni binafsi lakini huruhusiwi kuyafanya ili kulinda heshima yako.Haya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Baada ya kazi ipi? Yani kusafiri toka dar mpa hapa ndo kazi?Haya ni maisha binafsi. Kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote baada ya muda wa kazi.
Imenishangaza sana ktk huu msafara ambao sababu ya kuwahi huku haina tija kwa taifa letu kabisa!
Dalili za burudani ktk msafa huu niliziona tangu awali na nikapenyeza ushauri wa kupinga kuwahi bila mafanikio.
Lakini jana ktk mazingira nisiyo amini baba riz1 akatuamuru tumpeleke akale bata kwenye Kasino la maraha lililopo ktk jiji la Perth hapa Australia.
Hali ndiyo hiyo watanzania wenzangu hakuna cha mikutano ya wabeba box wala nini mkutano kamili unaaza ijumaa ila sisi ni bata kwenda mbele!
Bahati mbaya sikuwa na camera lakini wale wenye account ya twitter wamfollow ***** Salva maana yeye ndie alikuwa na kamera na tuliporudi hotelini akawa anaziweka twitter bila hata aibu!
Upo sahihi kabisa ukizingatia msafara wa rais unagharimiwa kila kitu na pesa za walipa kodi, halafu leo hii mtu anakwenda club. Hili ndilo linalomvunjia heshima sana JK.That is very true if you spend money from your own pocket. Otherwise enjoying with tax payers money,while we have many issues that have not been settled, then that is a sign of being an irresponsible person!!
Rudia tena kuisoma hii thread usisome kama gazeti la udaku mkuu!Mkuu, unamsema Ridhiwan huyu mtoto wa JK au mwingine?
Mbona jana nimemuona pale
ofisi za IMMMA?
Baba Ridhiwan na siyo Ridhwani.Mkuu, unamsema Ridhiwan huyu mtoto wa JK au mwingine?
Mbona jana nimemuona pale
ofisi za IMMMA?