AMA slow down,hatubishani hapa,besides CHARITY alishatoa msaada na tukafunga mjadala.,peace!!
Nakushangaa sana kuanza kutoa vilecture wakati ulienda kukopi kimada ka Michuzi ambacho kilishaletwa humu masiku kibao yaliyopita.
Na kuhusu hilo la kubishana ulitakiwa ulijue kwamba lipo kabla hujaanzisha hii thread.
Usitegemee kwamba niko hapa kukubaliana hata pale pasipo na sababu ya kukubaliana....so just you know.