Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,496
- 17,372
Huyo afisa uhamiaji wa mkoa anaota ndoto za mchana maana hana kazi ya kufanya hatawajibu wake anmeusahaua kabisa arudishwe hata week 2 tu akapashe kidogo maana wanafuga matumbo tu wanasahau wajibu wao kwa taifa wanabaki kuwa wana siasa wasaidizi sio makamanda!!!ina maana hajui mipaka ya salute na wakuu wa nchi na dola pamoja na katiba?