Superman,
watu wanaweza kushangaa kwamba umeleta mada kama hii humu ndani.Lakini tukifikiria kwa undani nadhani ni vizuri watu wakaelimika kujua ni nini kinaendelea nyuma ya pazia katika huduma nyingi ambazo kwa face value zinaonekana ni za kawaida.
Hizi huduma za usafi maeneo nyeti zimekuwepo kwa muda mrefu.Tena ziko hadi za kupaka relaxer kwenye nywele huko kwa bibi... na inabidi ulipie gharama zaidi.Wanaouziuza ni hao hao wahudumu wa salon.Tukiangalia ni kwanini kuna huduma kama hizo... majibu yako mengi na sihitaji kuyaweka hapa.Huduma kama ya massage pia, ni huduma nzuri lakini kuna mambo ya ajabu yanafanyika nyuma ya pazia.... ninajua massage palour kwenye hotel moja ya kitalii ufukweni mwa bahari DSM, kinachonishangza kupita vyote ni kuwa chumba cha massage ni kiimoja tu na unapata huduma kwa kupiga simu kuweka appointment.Mhudumu ni msichana tena mdogo tu na anapokuhudumia huwa anajifungia ndani na mteja.Wateja wake ni wanawake na wanaume.Pata picha anapojifungia humu ndani na mteja mwanaume kunakuwa na usalama? Jibu sina.Kuna wateja wengine hasa wanaume hupenda kuitisha huduma ya massage kwenye vyumba vya hotel.Nimewahi kuambiwa kuwa hiyo massage mara nyingi inaambatana na mambo mengine kwa gharama zaidi kama mhudumu anaridhia.
Jamani, dunia inaelekea wapi?Watanzania nasi kwa kuiga mambo upesiupesi hatujambo!
Tukija kwenye mada ya Superman,nadhani mwanamke anahitaji kujisetiri hata kama ni kujifanyia usafi.Kuna vifaa mbalimbali vinavyoweza kutumika na mhusika kujifanyia usafi huo bila hata ya kumtumia mtu mwingine.Kuna shaving kits nzuri specifically made for women na zina mpaka special gel ya kukufanya ujihudumie vizuri na kupata matokeo mazuri tu.Ila mwisho wa siku ni uchaguzi wa mtu binafsi.
hahahaha no super man siyo kama unamkaliza uchi mwananmke wmenzio huwa sehemu ile ya siri inazibwa.....hahahaha usihofu sana hakuna tatizo kabisa hapo.......alafu kuna style nyingi kama unataka zingolewe zote au unataaka kuweka punk it depends......
Hiyo punk ndio ipi KELLY?
au ndio landing strip?
Mdogo wangu Kelly,hahaha wewe lazima umeshakutana nazo hizo si bure..landind strips gentelemen clubs hizo ndiyo zenyewe.........kuna punk,thug style,bald hata ukitaka za dred lock!...........kuna wengine wameweka locks!....
Mdogo wangu Kelly,
taratibu.... usimwage mtama kwenye kuku wengi.
hahahaha!....haya dada yangu ngoja ni slow down!......
how are you anyways!...it has been a while sijaingia huku hope all is well my sister!>....
hahaha wewe lazima umeshakutana nazo hizo si bure..landind strips gentelemen clubs hizo ndiyo zenyewe.........kuna punk,thug style,bald hata ukitaka za dred lock!...........kuna wengine wameweka locks!....
He makubwa!! Kelly, seems you are well informed sister! kila sekta upo na una fact! au wewe ni CIA wa kibongo?
Hapo ndio pa kukomelewa........sishangai kama wengine wanakuambia wana matattoo ma5 mwilini ati ni fasheni aiiishi fasheni gani bana?Jamani, dunia inaelekea wapi?Watanzania nasi kwa kuiga mambo upesiupesi hatujambo!
Aksante mamii wangu kwa elimu hii kweli siku hizi kila kitu kwa teke linalokujia.... haya mama tuhabarishe!
Usikubali kuadopt hiyo teknolojia...kwangu sasa kama inabidi kupeleka kidude saluni, nashindwa kuelewa kimebaki nini kabla ya kujipeleka kuogeshwa...nadhani ni uzuri ukakihudumia mwenyewe au bamsap kama ulivosema apo juu..
Chaku si kusagana tu hata ushoga maana na hushangai wewe dume zina lenye akili zake likachezee mdudu wa mwenzio kisa nini kama si kuhamasishana.Siku zote nimekuwa nikijiuliza kusagana chanzo chake nini?ni tamaa iliyokithiri?au nini?Ushoga unaanzia wapi!!
Kumbe kama tumefikia kuwa wazi kumvulia mtu sehemu nyeti na ya heshima kwa wale wanaotambua ndoa maana yake nini kwa mtu mwingine usiyemjua hii ni hatari kubwa sana.
Kwa kweli Kelly siwezi kukwambia kuwa hiyo ni elimu ila nikitu cha kupingwa kama ukeketaji?
Ni aibu na desturi za mbantu yeyote kumvulia mtu sehemu yake ya siri kama hawana mahusiano ya kindoa eti namnyoa au Globalization ya Mzee Mkapa imefika huko hata kunyowana huko chini eti mnaita bikini wax au brazillian jamani hata wabrazilli tunawaiga kwa ujinga huu.
Aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu Tanzaniaaaaaaaaaaaaaa