MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Kelly sweetie, one more question before I go, hii huduma kwani ni kwa kinamama tu au hata kina baba wanapatiwa wakitaka? na je kwa akina mama nani anawahudumia wanawake wenzao au kina kaka na kwa kina baba je nani anawapaka na kutoa hiyo Brazilian wax? Ndo hicho kinaitwaga waxing au ni kingine? Yaani sie wa Nanjilinji tunapitwa na mengi!