Saloon za kike Kichaka cha umbea???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,949
22,117
Kuna kipindi inabidi uamini Mungu yupo hata kama mpagani
maana ikifika wakati wa mwisho ayupo hutokuwa na hasara
lakini weye ulieacha kuamini na ukamkuta kiama chake....&&&&

Kwenu wanandugu fL1 na wengineo jamani..tupeni ufafanuzi kuna
wanaume yaani wakisikia wake zao kwenda saloon wanahisi kichefu
chefu..sasa tunaitaji ukweli halisi

Wapo wanaaoamini saloon ni sehemu ya kufndishia umbea na hivyo
wanandoa ama wenye wachumba wengi hubeba upashu na kuishia
nao mwisho wa siku kuutumia kwa waume zao na kuharibu ndoa ama uhusiano
wao

wapo wanaoamini kama mkeo mpashu mpashu tu na wengine awaitaji
kwenda saloon kuja kuanzisha zali..wao kama ipo ipo na kama apana apana

sasa pengine wengine wamedanganywa sana kwa waume zao wako saloon
huku wakiwa sehemu za starehe...nakumbuka nikiwa mwanza nilishukia guest moja
mchana nasikia mwanmke saa nane anasema niko saloon mumewangu yaani ananipendesesha wacha mapaka utafurahi na jamaa anakuwa kama ana hamu kuona
alivyopendezwa..ninamaana wengi wa wanawake wanaobanwa hutumia saloon
kama sehemu za kwenda kufanya uharamia wao wa mapenzi.....

Mwenye uzoefu mtusaidie
 
mwingine anachukulia uzoefu kwa wale wajuzi wa mahaba aliwakuta hapo na kuja kumtunza mume ama bfriend
waanaume wa bongo wanjuliza vipi umepata wapi style hii kusema anashindwa..anyway sijui nasema sijui
yawezekana wengine huonyeshana hata style wakiwa wanasubiri draya lipate moto

hamuu hamuu hamuuuu
 
huko ndo sehemu ya kila mtu kumwanika mmewe, mara ohoo hajiwezi, mara ohoo mrefu mno, mfupi sijui,mzito, sijui ukitaka kufanya....fanya namna hii, yaani ni kitcheni party ya kishetani huko....kila mtu anataka kuwaonyeshea wenzie kuwa amemkamata vizuri bwanake, anaweza kumridhisha bwanake, anajua sana mambo fulani ya ndoa yale, yeye ni mtaalam hivyo anawapa wenzie ushauri,....wanaowacheka wamama wenzao wasiovaa vitu vya garama ndo kibao, mara fulani hajui kuvaaa, mara fulani anatoka nje ya ndoa, mara fulani hana sura nzuri, mara hajui kuoga, mara sijui maskini kuliko mimi, mara sijui bwanangu ananipa pesa nipendavyo...kila mtu anaongea apendavyo....ndo maana utakuta midomo yao imenyoookaaa hadi imekuwa mirefu hasa wakipakaa wanja mwekundu..kwasababu ya uongo, umbea na unafiki. mtu aliyefanya saloon kama ni mkeo ni wa kuwa naye makini sana, kwasababu amesikia ushauri wa kila aina..na anaweza kuamua kuupractice
 
na mama zenu nao mnawaweka kwenye hili kundi??maana nao ni wanawake.
nb:no offence intended
 
huko ndo sehemu ya kila mtu kumwanika mmewe, mara ohoo hajiwezi, mara ohoo mrefu mno, mfupi sijui,mzito, sijui ukitaka kufanya....fanya namna hii, yaani ni kitcheni party ya kishetani huko....kila mtu anataka kuwaonyeshea wenzie kuwa amemkamata vizuri bwanake, anaweza kumridhisha bwanake, anajua sana mambo fulani ya ndoa yale, yeye ni mtaalam hivyo anawapa wenzie ushauri,....wanaowacheka wamama wenzao wasiovaa vitu vya garama ndo kibao, mara fulani hajui kuvaaa, mara fulani anatoka nje ya ndoa, mara fulani hana sura nzuri, mara hajui kuoga, mara sijui maskini kuliko mimi, mara sijui bwanangu ananipa pesa nipendavyo...kila mtu anaongea apendavyo....ndo maana utakuta midomo yao imenyoookaaa hadi imekuwa mirefu hasa wakipakaa wanja mwekundu..kwasababu ya uongo, umbea na unafiki. mtu aliyefanya saloon kama ni mkeo ni wa kuwa naye makini sana, kwasababu amesikia ushauri wa kila aina..na anaweza kuamua kuupractice


Umejuaje? au unafanya kazi salon?
BTW. Mbona salon nyingi siku hizi hairdressers ni wanaume kwa hiyo na wao wamo kwenye kundi hili.
 
mwingine anachukulia uzoefu kwa wale wajuzi wa mahaba aliwakuta hapo na kuja kumtunza mume ama bfriend
waanaume wa bongo wanjuliza vipi umepata wapi style hii kusema anashindwa..anyway sijui nasema sijui
yawezekana wengine huonyeshana hata style wakiwa wanasubiri draya lipate moto
hamuu hamuu hamuuuu

Pdidy draya likiwashwa tu unaingiza kichwa, la kusubiria kupata moto linaitwa steamer!
 
huko ndo sehemu ya kila mtu kumwanika mmewe, mara ohoo hajiwezi, mara ohoo mrefu mno, mfupi sijui,mzito, sijui ukitaka kufanya....fanya namna hii, yaani ni kitcheni party ya kishetani huko....kila mtu anataka kuwaonyeshea wenzie kuwa amemkamata vizuri bwanake, anaweza kumridhisha bwanake, anajua sana mambo fulani ya ndoa yale, yeye ni mtaalam hivyo anawapa wenzie ushauri,....wanaowacheka wamama wenzao wasiovaa vitu vya garama ndo kibao, mara fulani hajui kuvaaa, mara fulani anatoka nje ya ndoa, mara fulani hana sura nzuri, mara hajui kuoga, mara sijui maskini kuliko mimi, mara sijui bwanangu ananipa pesa nipendavyo...kila mtu anaongea apendavyo....ndo maana utakuta midomo yao imenyoookaaa hadi imekuwa mirefu hasa wakipakaa wanja mwekundu..kwasababu ya uongo, umbea na unafiki. mtu aliyefanya saloon kama ni mkeo ni wa kuwa naye makini sana, kwasababu amesikia ushauri wa kila aina..na anaweza kuamua kuupractice

Wlikufanya nini hawa watu.....maana unaonekana una hasira nao kweli!:angry:
 
huko ndo sehemu ya kila mtu kumwanika mmewe, mara ohoo hajiwezi, mara ohoo mrefu mno, mfupi sijui,mzito, sijui ukitaka kufanya....fanya namna hii, yaani ni kitcheni party ya kishetani huko....kila mtu anataka kuwaonyeshea wenzie kuwa amemkamata vizuri bwanake, anaweza kumridhisha bwanake, anajua sana mambo fulani ya ndoa yale, yeye ni mtaalam hivyo anawapa wenzie ushauri,....wanaowacheka wamama wenzao wasiovaa vitu vya garama ndo kibao, mara fulani hajui kuvaaa, mara fulani anatoka nje ya ndoa, mara fulani hana sura nzuri, mara hajui kuoga, mara sijui maskini kuliko mimi, mara sijui bwanangu ananipa pesa nipendavyo...kila mtu anaongea apendavyo....ndo maana utakuta midomo yao imenyoookaaa hadi imekuwa mirefu hasa wakipakaa wanja mwekundu..kwasababu ya uongo, umbea na unafiki. mtu aliyefanya saloon kama ni mkeo ni wa kuwa naye makini sana, kwasababu amesikia ushauri wa kila aina..na anaweza kuamua kuupractice

Hii itakuwa saluni ya wapi? mmh! hii kali!!
 
huko ndo sehemu ya kila mtu kumwanika mmewe, mara ohoo hajiwezi, mara ohoo mrefu mno, mfupi sijui,mzito, sijui ukitaka kufanya....fanya namna hii, yaani ni kitcheni party ya kishetani huko....kila mtu anataka kuwaonyeshea wenzie kuwa amemkamata vizuri bwanake, anaweza kumridhisha bwanake, anajua sana mambo fulani ya ndoa yale, yeye ni mtaalam hivyo anawapa wenzie ushauri,....wanaowacheka wamama wenzao wasiovaa vitu vya garama ndo kibao, mara fulani hajui kuvaaa, mara fulani anatoka nje ya ndoa, mara fulani hana sura nzuri, mara hajui kuoga, mara sijui maskini kuliko mimi, mara sijui bwanangu ananipa pesa nipendavyo...kila mtu anaongea apendavyo....ndo maana utakuta midomo yao imenyoookaaa hadi imekuwa mirefu hasa wakipakaa wanja mwekundu..kwasababu ya uongo, umbea na unafiki. mtu aliyefanya saloon kama ni mkeo ni wa kuwa naye makini sana, kwasababu amesikia ushauri wa kila aina..na anaweza kuamua kuupractice

....utakuwa mmojawao na wewe...otherwise umetuacha tunajiuliza umeyajuaje yote haya?
 
wewe pdidy kama mkeo ana hulka ya umbeya usijumlishe wanawake wote wanaoenda salon.

kuna kipindi inabidi uamini mungu yupo hata kama mpagani
maana ikifika wakati wa mwisho ayupo hutokuwa na hasara
lakini weye ulieacha kuamini na ukamkuta kiama chake....&&&&

kwenu wanandugu fl1 na wengineo jamani..tupeni ufafanuzi kuna
wanaume yaani wakisikia wake zao kwenda saloon wanahisi kichefu
chefu..sasa tunaitaji ukweli halisi


wapo wanaaoamini saloon ni sehemu ya kufndishia umbea na hivyo
wanandoa ama wenye wachumba wengi hubeba upashu na kuishia
nao mwisho wa siku kuutumia kwa waume zao na kuharibu ndoa ama uhusiano
wao

wapo wanaoamini kama mkeo mpashu mpashu tu na wengine awaitaji
kwenda saloon kuja kuanzisha zali..wao kama ipo ipo na kama apana apana


sasa pengine wengine wamedanganywa sana kwa waume zao wako saloon
huku wakiwa sehemu za starehe...nakumbuka nikiwa mwanza nilishukia guest moja
mchana nasikia mwanmke saa nane anasema niko saloon mumewangu yaani ananipendesesha wacha mapaka utafurahi na jamaa anakuwa kama ana hamu kuona
alivyopendezwa..ninamaana wengi wa wanawake wanaobanwa hutumia saloon
kama sehemu za kwenda kufanya uharamia wao wa mapenzi.....

Mwenye uzoefu mtusaidie

aaaaah.....pole kama nimekchoma kula hiyo kidogo

wimbo wa chaja ya kobe......uburudike na weekend

kumbe "sijafulia" na "pididy" ni mtu mmoja? Sasa yanini basi ujibu kwa jina tofauti na uliloanzishia thread?
Kuwa shujaa upambane na ukweli badala ya kujificha kwenye majina elfu - kwani unamwogopa nani hapa au mkweo huwa anaingia humu ..hutaki akuone ulivyo?

Inaelekea unapenda mipasho kama makurumbembe hao hao unaowasema.... Nakutafutia wimbo wa " sanamu la michelini" wa marehemu nasma kidogo ukuburudishe wewe ..
 
Naomba niwe shuhuda,
Mke wangu alikutana na kuwadi saloon hadi leo sitaki kusikia habari za saloon. Ilikuwa hivi:

Mke wangu kila alipokuwa anataka kupendeza alienda saloon flan kujirekebisha kumbe kuna jamaa linamfukuzia likaanza kufua tilia nyendo zake na kugundua saloon anayotumia then likamtumia kuwadi (wa kike) kule saloon. Wakawa wanayaongea huku nma wapambe wakishindilia misumari.

At the end mke wangu kauvaa mkenge na pia kisingizio kikawa ni saloon.

Nilikujabaini hayo baada ya wamama wenye busara kujua kuwa saloon inamuharibu mke wangu wakanitonya ili kuokoa ndoa yangu ingawa walikuwa wameshachelewa.

Mbaya zaidi, walinichafua sana na busara finyu za wife ndizo zilizomponza leo hii hana pa kujishika

Hayo ndiyo mambo ya saloon na hiyo ni TRUE STORY
 
Back
Top Bottom