domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Jamani nisaidieni huyu mama ana cheo kingine kikatiba katika serikali yetu au ni first lady tu! Maana matamshi yake aliyoyatoa katika msiba wa mchina mimi yaliniogopesha. Au ana komand kikatiba kwa jeshi la polisi au hata pengine jeshi la wananchi?