Salma Kikwete ni first lady tu au naibu waziri mkuu?

domokaya

JF-Expert Member
Apr 22, 2010
3,545
1,719
Jamani nisaidieni huyu mama ana cheo kingine kikatiba katika serikali yetu au ni first lady tu! Maana matamshi yake aliyoyatoa katika msiba wa mchina mimi yaliniogopesha. Au ana komand kikatiba kwa jeshi la polisi au hata pengine jeshi la wananchi?
 
Jamani nisaidieni huyu mama ana cheo kingine kikatiba katika serikali yetu au ni first lady tu! Maana matamshi yake aliyoyatoa katika msiba wa mchina mimi yaliniogopesha. Au ana komand kikatiba kwa jeshi la polisi au hata pengine jeshi la wananchi?
Ana "KOMAND" mumewe ambaye ni Rais wako wewe, mwenye nguvu ya ku "KOMAND" jeshi la polisi na JWTZ. Kama huna mke basi huwezi jua nguvu ya mke kwa mumewe.
 
Hata sio First Lady First Lady ninayemjua mimi ni Mama maria Nyerere sema kwa vile watanzania na sisi tupotupo tu tunapelekwa pelekwa so hata zembwela leo anaweza toa comand kwa wananchi
 
Kwani amesemaje??? maana sijamsikia siku nyingi sana huyu mama
Nadhani aliongea kama Mama aliyeona uchungu kwa tukio lilivyotokea, ni hisia tu kama binadamu mwingine anaweza kuona huruma mpaka kushikwa na tafrani ya kutamka jambo lolote.
 
Nadhani aliongea kama Mama aliyeona uchungu kwa tukio lilivyotokea, ni hisia tu kama binadamu mwingine anaweza kuona huruma mpaka kushikwa na tafrani ya kutamka jambo lolote.
muanzisha mada mwenyewe ameanzisha kinafiki, ameanza kama mke mwenza wa Salma
 
Ana "KOMAND" mumewe ambaye ni Rais wako wewe, mwenye nguvu ya ku "KOMAND" jeshi la polisi na JWTZ. Kama huna mke basi huwezi jua nguvu ya mke kwa mumewe.
Hapa umeongea kienyeji mno!
 
Kwenye Katiba hakuna cheo kinachoitwa "1st lady". Lakini akienda Mikoani anatumia misafara mirefu ya magari ya serikali na pia anasomewa taarifa za Mikoa au Wilaya husika. Sijui kwanini na sijui huwa anazipeleka wapi taarifa hizi akishasomewa, au sijui huwa anazijibu papo hapo, na anazijibu kwa dhamana ipi ingawa hata wanaomsomea taarifa za Mikoa wanapaswa kuulizwa kwanini wanafanya hivyo. Au pengine ni utaratibu wa ccm manake wanaomsomea taarifa kule mikoani na wilayani ni wakuu wa mikoa na wilaya ambao kimuundo ni makada wa ccm. Na pia kuna "1st Son" anayepiga misele mikoani kama kampeni, na huko zinatumika rasilimali za Serikali kwa misafara na vyombo vya dola kumlinda. Kama ni mkenge basi Watz tushauingia, tunahesabu maumivu tu sasa.
 
Kwenye Katiba hakuna cheo kinachoitwa "1st lady". Lakini akienda Mikoani anatumia misafara mirefu ya magari ya serikali na pia anasomewa taarifa za Mikoa au Wilaya husika. Sijui kwanini na sijui huwa anazipeleka wapi taarifa hizi akishasomewa, au sijui huwa anazijibu papo hapo, na anazijibu kwa dhamana ipi ingawa hata wanaomsomea taarifa za Mikoa wanapaswa kuulizwa kwanini wanafanya hivyo. Au pengine ni utaratibu wa ccm manake wanaomsomea taarifa kule mikoani na wilayani ni wakuu wa mikoa na wilaya ambao kimuundo ni makada wa ccm. Na pia kuna "1st Son" anayepiga misele mikoani kama kampeni, na huko zinatumika rasilimali za Serikali kwa misafara na vyombo vya dola kumlinda. Kama ni mkenge basi Watz tushauingia, tunahesabu maumivu tu sasa.

True mkuu.....waambie hawa jamaa wanakurupuka na post za kizushizushi humu
 
Hapa lazma nipite kiiimya kabisaaa.. mama uone hii threads mie sijacomment chochote.. nimepita tu.. mie wivu sina.. ila roho tu ndio inaumauma tu.!!
 
Kwenye Katiba hakuna cheo kinachoitwa "1st lady". Lakini akienda Mikoani anatumia misafara mirefu ya magari ya serikali na pia anasomewa taarifa za Mikoa au Wilaya husika. Sijui kwanini na sijui huwa anazipeleka wapi taarifa hizi akishasomewa, au sijui huwa anazijibu papo hapo, na anazijibu kwa dhamana ipi ingawa hata wanaomsomea taarifa za Mikoa wanapaswa kuulizwa kwanini wanafanya hivyo. Au pengine ni utaratibu wa ccm manake wanaomsomea taarifa kule mikoani na wilayani ni wakuu wa mikoa na wilaya ambao kimuundo ni makada wa ccm. Na pia kuna "1st Son" anayepiga misele mikoani kama kampeni, na huko zinatumika rasilimali za Serikali kwa misafara na vyombo vya dola kumlinda. Kama ni mkenge basi Watz tushauingia, tunahesabu maumivu tu sasa.

Ndugu umeongea kama nilivyotaka kusema, jamani huyu mama anatumia vibaya kodi za wana wa nchi hii, msafara wa mama Salma ni zaidi ya msafara wa Mh Pinda, sisi wakazi wa Kigamboni kwa kweli sasa tumemchoka anasababisha usumbufu kwenye ferry na hata barabarani, anachokwenda kufanya hata hakieleweki mara sijui mradi wa kitu gani mara anakwenda kuangalia shamba sijui kiwanja, kwa kweli kama ni malipo kwa kosa walilofanya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi wa 2010 ndio haya sasa, ki halali kabisa huyu mama alipaswa kuwa na gari moja tu na mpambe wake basi, yeye sio rais, sio makamu wala sio waziri mkuu sasa msafara wa nini, first lady?! mbona hatukuyashuhudia haya huko nyuma enzi za Anna Mkapa, kweli Elimu ni Mali. jamani mliokaribu na hii serikali angalau wasaidieni kwa kuwaeleza kwamaba vitendo kama vya huyu mama ndivyo vinasababisha Hasira za wananchi zizidi kupanda na ipo siku tutasikia hata watu wamefanya kitu cha ajabu, hebu tujaribu kuwangalia na wananchi jamani, mama anamsafara mkubwa na msururu wa polisi, ving'ora vingi ilihali wananchi wanavunjiwa nyumba zao na majambazi na polisi hakuna, ghara za misafara ni kubwa wakati huduma za jamii zinazidi kuwa duni kuliko hata enzi zile za ujima.

Watanzania wenzangu tuamke na tuchukue hatua.
 
nimeshangazwa sana na haka ka mama pamoja na jeshi la polishi , yaani mchina kuuwawa ndiyo kimewaumaaa, mpaka mnaenda kumzika na mapikipiki. watanzania kibao wanakufa kwa kupigwa nondo za kichwa huko mbeya, huyo asha ngedere katulia ikulu kama hayamuhusu, kusikia mchina kauwawa anakurupuka maneno kibao, kwanza kanasumbua watu kutwa kako barabarani kanatujazia foleni . tulia kwa mumeo . mala leo kako mtwara , kesho kwenye maulid manzese, kesho kutwa mgeni rasmi wa misi tandale kwa mtogole. mnakera sana
 
Ndugu umeongea kama nilivyotaka kusema, jamani huyu mama anatumia vibaya kodi za wana wa nchi hii, msafara wa mama Salma ni zaidi ya msafara wa Mh Pinda, sisi wakazi wa Kigamboni kwa kweli sasa tumemchoka anasababisha usumbufu kwenye ferry na hata barabarani, anachokwenda kufanya hata hakieleweki mara sijui mradi wa kitu gani mara anakwenda kuangalia shamba sijui kiwanja, kwa kweli kama ni malipo kwa kosa walilofanya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi wa 2010 ndio haya sasa, ki halali kabisa huyu mama alipaswa kuwa na gari moja tu na mpambe wake basi, yeye sio rais, sio makamu wala sio waziri mkuu sasa msafara wa nini, first lady?! mbona hatukuyashuhudia haya huko nyuma enzi za Anna Mkapa, kweli Elimu ni Mali. jamani mliokaribu na hii serikali angalau wasaidieni kwa kuwaeleza kwamaba vitendo kama vya huyu mama ndivyo vinasababisha Hasira za wananchi zizidi kupanda na ipo siku tutasikia hata watu wamefanya kitu cha ajabu, hebu tujaribu kuwangalia na wananchi jamani, mama anamsafara mkubwa na msururu wa polisi, ving'ora vingi ilihali wananchi wanavunjiwa nyumba zao na majambazi na polisi hakuna, ghara za misafara ni kubwa wakati huduma za jamii zinazidi kuwa duni kuliko hata enzi zile za ujima.

Watanzania wenzangu tuamke na tuchukue hatua.

marehemu alikuwa mfadhili mkuu wa WAMA!
 
Ana "KOMAND" mumewe ambaye ni Rais wako wewe, mwenye nguvu ya ku "KOMAND" jeshi la polisi na JWTZ. Kama huna mke basi huwezi jua nguvu ya mke kwa mumewe.


Acha ujinga wewe! Unafikiri jinsi unavyopelekwa pelekwa na mkeo ni wanaume wote wanafanyiwa hivyo! Kama rais wako nae ni kama wewe usidhani ni jambo la kuzungumza hadharani. Ni upuuzi huo!
 
Kwenye Katiba hakuna cheo kinachoitwa "1st lady". Lakini akienda Mikoani anatumia misafara mirefu ya magari ya serikali na pia anasomewa taarifa za Mikoa au Wilaya husika. Sijui kwanini na sijui huwa anazipeleka wapi taarifa hizi akishasomewa, au sijui huwa anazijibu papo hapo, na anazijibu kwa dhamana ipi ingawa hata wanaomsomea taarifa za Mikoa wanapaswa kuulizwa kwanini wanafanya hivyo. Au pengine ni utaratibu wa ccm manake wanaomsomea taarifa kule mikoani na wilayani ni wakuu wa mikoa na wilaya ambao kimuundo ni makada wa ccm. Na pia kuna "1st Son" anayepiga misele mikoani kama kampeni, na huko zinatumika rasilimali za Serikali kwa misafara na vyombo vya dola kumlinda. Kama ni mkenge basi Watz tushauingia, tunahesabu maumivu tu sasa.

Hajjat Amina alikataa kumsomea taarifa wala kumuandalia mapokezi akidai hana bajeti ya kufanya hivyo ona kilichomtokea amemwagwa! Wakuu wa mikoa ni mouse girl na mahouseboy wa mke wa rais wetu huyu hapa
 
Back
Top Bottom