...Mlimuona akienda kuchukua hayo mafuta ya papa huko baharini usiku au ndio mambo ya radio mbao?????Kuna mtu kanidokezea kwamba mama yetu wa kwanza naye alijitosa usiku mrefu ufukweni mwa bahari ili kujipatia mafuta ya yule papa aliyefia ufukweni wiki ilopita. Inasemekana ni dawa nzuri kwao!!!! Hii nayo imekaaje jamani?
...Yaelekea hata wao walikuwa wanafata hayo mafuta ya papa....kama ni usiku mnene walimuonaje kama na wao hawakuwa katika pilika hizo?????duh......hii udaku.
Vp alienda na escot ya magari mangapi???
Hii taarifa ni ya kijinga,sorry to say this!