Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Katika hali inayoonyesha CCM kuzidiwa nguvu kulitetea jimbo la Bukombe linalowaniwa na mbunge anayemaliza muda wa Mm.Emma Luhahula anaonekana kuzidiwa nguvu na mgombea wa CHADEMA Prof.Kulikoyela Kahigi (kulikoyela- kwa lugha ya kisukuma ni sehemu ya mapambano).
Viongozi wa juu wa CCM wamekuwa wakienda japo kujaribu kuokoa jahazi bila mafanikio, kwa sasa inasemekana hata kamati kuu ya CCM imepewa taatifa za ugumu wa jimbo hilo na kwamba Makamba,salma na Malisa kwa nyakati tofauti wamejaribu bila mafanikio baada YA UONGOZI WA CCM mkoa shinyanga kutundika njumu kwa kusalimu amri.
Lakini kabla ya hawa vigogo, mkuu wa chama hicho rais kikwete alitamkiwa na wasukuma wale kwa kupaza sauti za kuziba masikio"Hatumchugui mgombea huyo wa CCM na wakatamka wazi chaguo lao ni KAHIGI WACHADEMA" wakafunga ukurasa kwa kikwete.
ingawaje baada ya hayo kikwete alimuagiza m/kti wa ccm mkoa SHINYANGA bwana Mgeja kubaki Bukombe hadi kieleweke bado hakikueleweka ndipo Makamba,salma na Malisa wakajitosa bila mafanikio.
Inasemekana jana Zitto kabwe kachafua tena zaidi hali ya hewa ya Bukombe huku ikitarajiwa 16/10/2010 mkuu wa nchi mtarajiwa anashuka na nondo za mwisho mwisho kwa wapiga kura wa Bukombe.Hapo patamu wapenda mabadiliko ya kweli
chagua chademaaaaa
Viongozi wa juu wa CCM wamekuwa wakienda japo kujaribu kuokoa jahazi bila mafanikio, kwa sasa inasemekana hata kamati kuu ya CCM imepewa taatifa za ugumu wa jimbo hilo na kwamba Makamba,salma na Malisa kwa nyakati tofauti wamejaribu bila mafanikio baada YA UONGOZI WA CCM mkoa shinyanga kutundika njumu kwa kusalimu amri.
Lakini kabla ya hawa vigogo, mkuu wa chama hicho rais kikwete alitamkiwa na wasukuma wale kwa kupaza sauti za kuziba masikio"Hatumchugui mgombea huyo wa CCM na wakatamka wazi chaguo lao ni KAHIGI WACHADEMA" wakafunga ukurasa kwa kikwete.
ingawaje baada ya hayo kikwete alimuagiza m/kti wa ccm mkoa SHINYANGA bwana Mgeja kubaki Bukombe hadi kieleweke bado hakikueleweka ndipo Makamba,salma na Malisa wakajitosa bila mafanikio.
Inasemekana jana Zitto kabwe kachafua tena zaidi hali ya hewa ya Bukombe huku ikitarajiwa 16/10/2010 mkuu wa nchi mtarajiwa anashuka na nondo za mwisho mwisho kwa wapiga kura wa Bukombe.Hapo patamu wapenda mabadiliko ya kweli
chagua chademaaaaa