Jamani yeye alipokea tuu...Ukilaza unaonekana kuwa HASOMI ANACHOPEWA...Hahahahahaha
Huyu mama Kilaza kweli hakuweza hata kusoma akagundua hilo kosa?
hiii Familia kijumla ni ya VILAZA Kwa kweli
Hata watoto wao na aanza kudoubt elimu zao mmhh sijui
aiwezekani baba na mama wakala mkojo wa aina moja;;kuku sawa ya kienyeji lakini mmhh cheki loh ile picha ya kikwete tuleteen jamani sasa tunasubiri mwanae apewe CRDB Feki alafu zote CRDB zina nini???
JF kuweni na adabu huyo ni kama mama yenu atiiiiii........sio yeye aliyeandika sasa ukilaza wake unatoka wapi?